Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Dua la kuku halimpati mwewe,mwaka jana tuliwafundisha jinsi ya kuvuka na kufika final Shirukisho,mwaka huu pia tutawafundisha jinsi ya kufika nusu na final Champions League.Ni vyema Kwa watu wa Simba ili hii robo tunayoitwa MwakaRobo na wao waione ilivyo ngumu kutoboa nusu.
Follow channel yao kule whatsapp utajua kila kitu.mtueleze mapema kama Mamelody kashuka kiwango au bado yupo moto
Mambo ya Channel tumewaachia nyinyi mambumbumbu maana ndio mafanikio yenu hayo msimu huu.Follow channel yao kule whatsapp utajua kila kitu.
Japo 🐸 🐸hamna channel yenu ya whatsapp Ila wewe huwezi kuwa 🐸mbumbumbu kwa kushindwa kufollow channel ya hao jamaa na kujua mengi yawahuslyo.
Wabet Yanga 5 na Mamelodi 1 ndipo watajua kwa nini khanjbay hutembelea choppa alilolinunua kwa maokoto ya wanaobet kijinga 😂😂watu wa Kubet game ya Kwa Mkapa ipeni Yanga mpige pesa.
MhhhSafi sana, tunataka kuionyesha Dunia kuwa hatubahatishi.
Acha kupanic, ingia tu kwa channel ya Mamelodi ujionee walivyo smartMambo ya Channel tumewaachia nyinyi mambumbumbu
Mbona hamkutufundisha namna ya kurudi na kombe!?Dua la kuku halimpati mwewe,mwaka jana tuliwafundisha jinsi ya kuvuka na kufika final Shirukisho,mwaka huu pia tutawafundisha jinsi ya kufika nusu na final Champions League.
Zee la Sera😄🤣🤣Simba vs Petro de Luanda
Young Africans vs Asec Mimosas
Utabiri ulienda komboZee la Sera😄🤣🤣
Nisha kuzoea na Sera zako😄🤓Utabiri ulienda kombo
Kamanda azoeleki😎Nisha kuzoea na Sera zako😄🤓
Kamanda njia hii Kuna Simba, Afu una kuta panzi😄Kamanda azoeleki😎
Sawaa tupoHawa niliwacheki na mazembe hawasumbui Hawa 🤣😁
🤣😁Sawaa tupo
Mbona alimshindwa mazembe pale Lubumbashi 🤣😁😁😁Uzuri wa Mamelody humaliza shughuli ugenini.
Haya mkeka ulitiki.Yanga kwasababu ya ubovu wao wnaomba wakutane na ASEC,yanga inapenda kubebwa bebwa.
Yanga vs memolody matokeo yatakuwa hivyo
Hakuna werevu wowote kwenye assumption na hisia zisizokuwa na uthibitisho.Ni sawa ni Ujinga kwa wewe mjinga,unaishia akili yako ilipoishia,lakini kwa waerevu hiki kitu kinafikirisha.
Hakuna aliekataa kwenda uwanjani na ball litapigwa vizuri tu