Kaka watu wa mpira pressure zetu ziko juuSema hapa wangeanza na Champions league tu,
Umefikri kama mimi.Utabiri..
Mamelody Vs Yanga
SIMBA vs Petro
wabongo hizi timu zitatuua 🤣 🤣Kaka watu wa mpira pressure zetu ziko juu
Kuna mpuuzi mmoja, alishaandika hapa JF kuwa, Karia wa TFF anafanya mbinu ili Simba apate unafuu !Tayari imepangwa hivyo nimepenyezewa na jasusi letu mahiri ambalo Lipo CAF kinachosubiliwa ni kukamilisha tu
Aisee! nina kimuhe muhe balaa.wabongo hizi timu zitatuua 🤣 🤣
Wanashangaza sana hawa watu.Kuna mpuuzi mmoja, alishaandika hapa JF kuwa, Karia wa TFF anafanya mbinu ili Simba apate unafuu !
Yaani member wa JF ya leo hii, hajui timu zinapangwaje!!!?
Wabongo wengi vichwani watupu kupita maelezo.Kuna mpuuzi mmoja, alishaandika hapa JF kuwa, Karia wa TFF anafanya mbinu ili Simba apate unafuu !
Yaani member wa JF ya leo hii, hajui timu zinapangwaje!!!?
Angalia comment mkuu. Zipo zakutoshaALIYEANZISHA UZI KAKIMBIA KASHINDWA KUTOA UPDATE
All the Best Tanzania...All the Best Yanga