Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

MAMELODI anaongoza ligi yao kwa pointi 12 juu ya anayemfuata huku akiwa na mechi tatu mkononi...akishinda hizo atakuwa na pointi 21 zaid ya anayemfuata...hii ndio mamelodi inayocheza na Jangwani s. c.
 
wewe ni mimi kabisa, kuna upotevu flani ulitokea nikiwa mmoja wa wahusika wakaletwa wachunguzi mikwara balaa

nikawaambia aliye wateua hajielewi maana mnavyo endesha uchunguzi hamjui lolote jamaa akapaniki kwa hasira na kunambia lazima anifunge maana nna dharau

nilimwambia kwa akili yako sidhani sana , badae anawauliza wengine kwa nini hata sishtuki
Yanii Kuna mambo yanahitaji ujasiri na kujiamini kwa hali ya juu vile wanakuswalika hata the way unavojibu tu wanakusoma. Ukiogopa unaeza ujichanganye kwenye Maelezo au ukijibu kwa kutetemeka ..
Niilikaza uso mbuzi sikwepeshi macho afu sikuwa hata na presha wala wasiwasi! Wakaniachia niondoke tu

cc Smart911
 
Hivi huwa hawatufanyii umafia hawa??
Ila hawa mamelode kombe wanalitaka..yule raisi wa CAF motsepe analitaka liende kwa vijana wake...
Something fishy hapa, hii draw imewabeba sana Al ahly na mamelodi, nusu hawatakutana wakivuka wote na on top of that bado wote wataanzia ugenini semi finals, mamelodi ndo mbeleko kabisa, akivuka nusu hakutani na Al ahly na ataanzia ugenini mechi yake, na hata akienda fainali bado ataanzia ugenini!!!
 
Something fishy hapa, hii draw imewabeba sana Al ahly na mamelodi, nusu hawatakutana wakivuka wote na on top of that bado wote wataanzia ugenini semi finals, mamelodi ndo mbeleko kabisa, akivuka nusu hakutani na Al ahly na ataanzia ugenini mechi yake, na hata akienda fainali bado ataanzia ugenini!!!
Ndo maana nimesema huyo raisi wa CAF ana mipango yake..
 
Kiratiba Yanga kapata bahati sana kucheza na Mamelodi Sundowns, Tarehe 27 mwezi huu timu ya taifa ya Afrika kusini yenye wachezaji 10 wa Mamelodi itakuwa na mchezo nchini Algeria siku mbili mbele au tatu Mamelodi watapaswa kuwa Dar es Salaam.

Kuna taarifa za ndani ya Mamelodi kujaribu kuomba endapo wangepangiwa timu yoyote ile kutoka Tanzania wachezaji wao wasicheze mchezo dhidi ya Algeria kutokana muda mchache wa kujiandaa pamoja na umbali wa safari kutoka Algeria to Tanzania. Wao walipendelea wacheze na ES Tunis ssb ya urahisi wa kutoka Algeria to Tunisia. Logistics za mchezo dhidi ya Yanga hazitakuwa rafiki kwao.
CAF watatwist michezo yote, kubenefit timu zote mbili.
Game inaweza kupangwa 31st March
 
Back
Top Bottom