Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nisujudie paka sio nyie vyura wenye mayai..dhaifu kabisa..Mbwa usiye na mkia, popote unapoona jezi ya yanga piga magoti na sujudu
Kama siyo wewe vile. Au shemeji anatumia simu yako? 😁😁😁Mwisho wa siku ajuaye matokeo ya timu ni Mungu maana ameshajua tayari...hapa tutapiga domo tuu weee...
Kila la heri..
Both team to score 😀
Mseme kabisa yanga mbovu au kali hatutaki visababu😂😂😂Siku ukikua utaacha ujinga.
Yanii Kuna mambo yanahitaji ujasiri na kujiamini kwa hali ya juu vile wanakuswalika hata the way unavojibu tu wanakusoma. Ukiogopa unaeza ujichanganye kwenye Maelezo au ukijibu kwa kutetemeka ..wewe ni mimi kabisa, kuna upotevu flani ulitokea nikiwa mmoja wa wahusika wakaletwa wachunguzi mikwara balaa
nikawaambia aliye wateua hajielewi maana mnavyo endesha uchunguzi hamjui lolote jamaa akapaniki kwa hasira na kunambia lazima anifunge maana nna dharau
nilimwambia kwa akili yako sidhani sana , badae anawauliza wengine kwa nini hata sishtuki
aisee wafanye haraka me naona kabisa hii gemu kuna bao la mapemaaaa "wazungu" siyo kwa haya mahaba
Ni mimiKama siyo wewe vile. Au shemeji anatumia simu yako? 😁😁😁
Something fishy hapa, hii draw imewabeba sana Al ahly na mamelodi, nusu hawatakutana wakivuka wote na on top of that bado wote wataanzia ugenini semi finals, mamelodi ndo mbeleko kabisa, akivuka nusu hakutani na Al ahly na ataanzia ugenini mechi yake, na hata akienda fainali bado ataanzia ugenini!!!Hivi huwa hawatufanyii umafia hawa??
Ila hawa mamelode kombe wanalitaka..yule raisi wa CAF motsepe analitaka liende kwa vijana wake...
Ndo maana nimesema huyo raisi wa CAF ana mipango yake..Something fishy hapa, hii draw imewabeba sana Al ahly na mamelodi, nusu hawatakutana wakivuka wote na on top of that bado wote wataanzia ugenini semi finals, mamelodi ndo mbeleko kabisa, akivuka nusu hakutani na Al ahly na ataanzia ugenini mechi yake, na hata akienda fainali bado ataanzia ugenini!!!
Mimba ya mapacha watano mnajifungua liniLabda nisujudie paka sio nyie vyura wenye mayai..dhaifu kabisa..
Dogo kaa utulie kwanza..mimba ya mapacha wat5 mlishadungwa na mapacha 6 juu nadhani mlishajifungua...kwa sasa hizi sio shida zetu..Mimba ya mapacha watano mnajifungua lini
Kama nyie mlivyosema wydad mbovu, wakishinda ni wakali ila wakishindwa ni wabovu, Mwendo ni huo mtani [emoji23][emoji23]Wasijesema Mamelodi mbovu[emoji23]
🤣😁😁😁Kama nyie mlivyosema wydad mbovu, wakishinda ni wakali ila wakishindwa ni wabovu, Mwendo ni huo mtani [emoji23][emoji23]
Au nimechanganya mafaili...hii ni mtoanoNdio ipo hiyo😂🤣😁😁😁
Uto mnajipa sana ujasiriTumepata Mamelodi hii kwetu ni bahati kubwa sanaaa!
Dunia inaenda kupatwa na mshangao jinsi Mamelodi watakavyofungasha vilago vyao robo fainal.😂
Daima Mbeleeee💛💚
CAF watatwist michezo yote, kubenefit timu zote mbili.Kiratiba Yanga kapata bahati sana kucheza na Mamelodi Sundowns, Tarehe 27 mwezi huu timu ya taifa ya Afrika kusini yenye wachezaji 10 wa Mamelodi itakuwa na mchezo nchini Algeria siku mbili mbele au tatu Mamelodi watapaswa kuwa Dar es Salaam.
Kuna taarifa za ndani ya Mamelodi kujaribu kuomba endapo wangepangiwa timu yoyote ile kutoka Tanzania wachezaji wao wasicheze mchezo dhidi ya Algeria kutokana muda mchache wa kujiandaa pamoja na umbali wa safari kutoka Algeria to Tanzania. Wao walipendelea wacheze na ES Tunis ssb ya urahisi wa kutoka Algeria to Tunisia. Logistics za mchezo dhidi ya Yanga hazitakuwa rafiki kwao.