Robo Fainali Klabu Bingwa Africa: TP Mazembe 4 - 1 Simba SC


Shukrani jamaa.
 
Yaani kufungwa ndio kunifanye nisile? nilikula msosi kwa amani kabisa, halafu unajua nini mtani kufungwa hakuishi kupo tu ndio maisha ya mpira yalivyo.
Simba nguvu moja
Ndio hasa wale wenye tambo Mtaani huwa wanashindwa hata kula hasa wakiwaza walivyokuwa na maneno kabla ya mechi na namna ya kupokea maneno ya kejeli toka kwa watani zao.

Yah. Kufungwa huwa hakuishi Mtani hasa katika maisha ya mpira kama usemavyo.
 
Ndio hasa wale wenye tambo Mtaani huwa wanashindwa hata kula hasa wakiwaza walivyokuwa na maneno kabla ya mechi na namna ya kupokea maneno ya kejeli toka kwa watani zao.

Yah. Kufungwa huwa hakuishi Mtani hasa katika maisha ya mpira kama usemavyo.
Nilitaka nishangae usijitokeze Kipindi Kama hichi labda sio wewe

Kamwenee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani kiongozi tupo pamoja
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†MAISHA YANGU YOTE NIMEKULIA YANGA, NAISHI YANGA NA NITAFIA YANGA....SIMBA NI MTANI WANGU TU
Mtani unayemkubali πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…