Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Safi Sana mdau!Mkuu Mimi mwananchi. Nawapongeza watani wangu walipofikia. Mwakani naamini watafika mbali. Hata mazembe hawakufikia hatua ya kuchukua makombe overnight. Hongereni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi Sana mdau!Mkuu Mimi mwananchi. Nawapongeza watani wangu walipofikia. Mwakani naamini watafika mbali. Hata mazembe hawakufikia hatua ya kuchukua makombe overnight. Hongereni.
Yaani unahesabia waliyofungwa wenzio wewe mwenyewe hujiwezi na maneno ya unafiki uliyomalizia hapo chini. Wewe unayekula moja moja umewahi kufikia hatua gani?Yaani ndani ya nchi moja mnyama Kala 9 (As Vita 5 Mazembe 4) Pole Sana Moo at least umethubutu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia mechi ya sundown na ahly muda huu ndo utajua mpira wa tanzania bado una safari ndefu sana.
KAMA alivyowaoa yanga pale Taifa.. kimoja cha nguruwe. KagereeeHakuna mavuvuzela, bodaboda wala magari yani ni siku ya kimya kimya 7bu tu Makelele FC kaolewa DRC[emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa matokeo hayo simba anatinģa nusu bila tatizo mkuuDroo ya 1-1 jaza mwenyewe nani atatinga nusu
Wameshatushagaza tayarimkuu mpira hauna mwenyewe wanaweza wakakushangaza
Kwa maana kundi LA Simba wote wakikuwa wanawake wavaa ushungi siyo?Kwenye makundi. Kundi la mikia ndilo pekee lilikuwa bovu. Yupo jamaa aliwahi kusema hapa. Zilizoingia kundi hili zote zinang'olewa. Wanabaki wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka sasa mechi ñi dakika 500 zinaenda matokeo ni Tp mazembe 4 - 4 SimbaMahesabu ya kocha ni kuwa na sub yenye nguvu iliyosoma mchezo. Lakini pia hii mechi inaweza kwenda dk 120, ni vizuri kujiandaa mapema kwa lolote.
Lakini pia Akili ya TP Mazembe iko kwa Kagere!! Kutokuanza kwa Kagere kutawachanganya TP Mazembe kisaikologia!!!!
Viporo vyenyewe ni kwa hisani ya Bodi ya ligi na Tff, kupelekea ubingwa was hisani.
Mmeshinda njaa
Tawire babaNusu fainali Simba vs Mamelod .......game ya leo 3_3 ......Mazembe kaponzwa na Boko.
Kalale huko...bichwa tu.Tawire baba
Nalala kwa hisani ya 4GKalale huko...bichwa tu.