CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Nyie ngedere mbonaJuma Shaibu mumemuongezea mkataba ana faida gani kwenye timu yenuSimba sijui tunakwama wapi kumpiga chini Mugalu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ngedere mbonaJuma Shaibu mumemuongezea mkataba ana faida gani kwenye timu yenuSimba sijui tunakwama wapi kumpiga chini Mugalu
Shughuli yake utaiona msimu ukianza mkuuNyie ngedere mbonaJuma Shaibu mumemuongezea mkataba ana faida gani kwenye timu yenu
Na bado,endeleeni kushindana na Yanga yenye pesa na imara,msipokuwa makini mwakani top 4 hampati.ina maana kwamba tunaenda kutangaziwa usajili wa mwisho wa beki ouutara wamefunga usajili....tuendelee kutegemea watokea pembeni kina okrah, sakho na kibu kufunga magoli ..aisee inashangaza sana, nimenawa mikono
Ningeweza kukujibu sawa sawa na upumbavu wako ila ngoja nikupuuzetangu lini dada we ukawa fans wa Simba?
MAKAMBOHakuna mshambuliaji mwenyesifa za hata nusu za Mugalu katika ligi yetu NBC. Na hakina kocha mzuri ambae hatopenda huduma ya Mugalu
Huu ni ushabiki pumbu sasa, Yanga unawezaje kusema sio nzuri? Simba gani unaweza ifananisha na Yanga ya Msimu ulioisha? Hawana uwanja wa ugenini wala nyumbani.Ni msimu mwingine ambao deportovo LA utopolo anaenda kuchukua ubingwa sio kwamba ni wazuri sana Ila sasbabu ya simba kukosa u-serious kwenye usajili.
Mzamiru, gadiel Michael, mugalu, nyoni, kagere, lwanga sio watu wa kuipa matokeo simba, mpira sio mchezo wa takwimu kwamba msimu wa 2010 alifunga magoli 100 basi Leo atafunga 100..mnabaki na mchezaji ambae msimu mzima hana hata goli
unajua maana ya kuutua mzigo wa miiba kwa kumtoa kwa mkopo? huyo jamaa kiyovu na nkana wanamtaka ila anataka mshahara wa usd 5000 anaolipwa simba hao watu hawana sasa simba si iwape kwa mkopo washee mshahra nusu kwa nusu? mkataba wake ukafie huko...kilichobaki ni kuja kuwatesa Phiri na kiyombo maana hapo katikati hakunakitu kabisa..f&&***ckWakimvunjia mkataba wake utalipia wewe?
Sio kila jambo ni kukurupuka mkuu,
Hata hivyo anaweza akaenda pre season na bado akatemwa,
Mechi ya mwisho na Orlando Pirates alipata kadi ya kipuuzi, alipotoka majamaa wakapata goli kwa ajili ya wachezaji pungufu , tungeingia nusu fainali jamaa alitucoast mpumbavu yule.kiuwkeli hili siyo ya kulichukulia kimasihara, kwa hiyo watu wameamua ku risk msimu huu sababu wanaogopa kuvunja mkataba na mugalu? hata kumtoa mkopo uchangie mshahara na team nyingine nayo ni shida?
Naona hu mzigo mzito wanaenda kupewa Moses phiri na Habib kiyombo ukiwatoa hao pale mbele hakuna kitu kabisa..shame shame shame
We subiri mkataba uishe wakati timu nyingine zinafanya vizuri na kuingia pesaMimi pia imeniuma lakini Jambo moja ambalo mashabiki wengi(walimbukeni) au hawaelewi ni kwamba Club zinabajeti na ukiona kabakizwa ujue kakosa team inayohitaji huduma zake kwaiyo kitu pekee ni kuvunja mkataba na Kuvunja Mkataba ni lazima Club iingie mfukoni ito mpunga mrefu kwa mchezaji...sasa fikiria Mfano simba imeuza Bwalya tu alafu kuna wachezaji kama 7 haiwahitaji fikiria loss itayokula kwa kuvunja mikataba ya wachezaji hao?? Kwaio solution ni kusubiri Mkataba uishe waachane kiroho safi...Na sio Simba tu ata uko Duniani unaona mashabiki wa Man U wanashinikiza mfano Maguire aondoke lakini club ikipiga mahesabu ya kuvunja mkataba inaona itakula loss So ni Bora kusubiri Auzike au mkataba uexpire
Mechi ya mwisho na Orlando Pirates alipata kadi ya kipuuzi, alipotoka majamaa wakapata goli kwa ajili ya wachezaji pungufu , tungeingia nusu fainali jamaa alitucoast mpumbavu yule.
Shughuli ya kupiga watu mateke tumboni? Msimu mzima uliopita kadugua bench.Shughuli yake utaiona msimu ukianza mkuu
muda utasemaShughuli ya kupiga watu mateke tumboni? Msimu mzima uliopita kadugua bench.
Kiukweli that guy hana hata uchungu akikosa magoli huwa anatabasamu na kuendelea kutafuna jojo, he is a waste takataka kabisa
sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Ina bore sana huo ni mzigo wa mavi umeubeba wewe unayemkingia kifua huyo mpuuzi , shame on you kwanza jitu lenyewe huwa linacheza miezi miwili tu mingine ni majeraha na ku spend mshahara wa bure huko congo kila siku yuko kwao eti anaumwa.
Ndugu yangu nilikuwa hapa nasubiri utambulisho wa manzoki na beki huyo wa kati ila moyo wangu umeingiwa na simanzi sana kwa kuwaona hao watuSimba inapoteza muda kubaki na striking force ya wazee: Mugalu, Bocco na Kagere waondoke tu. Utopolo wanaenda kutamba tena msimu ujao 2022/2023
Kiukweli that guy hana hata uchungu akikosa magoli huwa anatabasamu na kuendelea kutafuna jojo, he is a waste takataka kabisa
sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Ina bore sana huo ni mzigo wa mavi umeubeba wewe unayemkingia kifua huyo mpuuzi , shame on you kwanza jitu lenyewe huwa linacheza miezi miwili tu mingine ni majeraha na ku spend mshahara wa bure huko congo kila siku yuko kwao eti anaumwa.
Wakimvunjia mkataba wake utalipia wewe?
Sio kila jambo ni kukurupuka mkuu,
Hata hivyo anaweza akaenda pre season na bado akatemwa,