Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Msimu ujao mtakuwa mnamuangalia Chris Mushimba Mugalu huku mkiwa na vipande vya ndimu mikononi kudadek! 😁Jamaa likikosa goli linatafuna jojo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu ujao mtakuwa mnamuangalia Chris Mushimba Mugalu huku mkiwa na vipande vya ndimu mikononi kudadek! 😁Jamaa likikosa goli linatafuna jojo tu.
Fala wewe😂Msimu ujao mtakuwa mnamuangalia Chris Mushimba Mugalu huku mkiwa na vipande vya ndimu mikononi kudadek! 😁
Mnalialia tuwasaidieje sasa🤣🤣🤣🤣M
Mugalu ana mkataba wa miaka miwili, ambao uko mbioni kuisha. Nadhani wamemuongezea Kama boko. Yani Viongozi wetu hawana vision kabisa.
🤣🤣🤣🤣Msimu ujao mtakuwa mnamuangalia Chris Mushimba Mugalu huku mkiwa na vipande vya ndimu mikononi kudadek! 😁
Sure mwamba alafu lijamaa hata kujutia tu Hakuna Zaid linajitafuna tafuna tu.Mechi ya mwisho na Orlando Pirates alipata kadi ya kipuuzi, alipotoka majamaa wakapata goli kwa ajili ya wachezaji pungufu , tungeingia nusu fainali jamaa alitucoast mpumbavu yule.
UkweliWakimvunjia mkataba wake utalipia wewe?
Sio kila jambo ni kukurupuka mkuu,
Hata hivyo anaweza akaenda pre season na bado akatemwa,
Yaan Mugalu anachojua ni kutafuna jojo na kutema mate km chatu mwenye njaa, ananiboaaa hata kumuona sitakiii,Kizer Chief wenyewe walifagia wazee wote na wale wasiofanya vizuri kama Kambole na yule Samir Nuckovich, tena kwa kuwavunjia mikataba ila sisi tunakumbatia tu magarasa.
Mugalu na kagere hamna kitu pale kwasasa, yani ni bora ucheze na Kyombo kuliko hao wasenge wawili.
Mie nakerekwa mnooo, bas tyuuh.Kunywa maji ya limao upunguze hasira.
Usijali bibie!Ningeweza kukujibu sawa sawa na upumbavu wako ila ngoja nikupuuze
Ahhaaa, chatu mwenye njaa!Yaan Mugalu anachojua ni kutafuna jojo na kutema mate km chatu mwenye njaa, ananiboaaa hata kumuona sitakiii,
Kagere nae uzee upo usoni si astaafu awe kocha wa washambuliaji pale simba km anaipenda sana.
Nakerekwa, bwalya sikua namtaka na nlifurahi mnoo alivyotoka, ila kwa hili bora angebaki yeye.
Acha mambo ya kisenge kisenge we dogo. QMMKUsijali bibie!
Kwa taarifa yako wakati Simba wanamsajili alikuwa ametoka kwenye majeruhi ya muda mrefu. Halafu kaja hapa ndani ya misimu miwili ni majeruhi tu kama gari la mkaa tripu shamba tripu gereji. Kwa kifupi ni kuwa kwa namna usajili ulivyoendeshwa haihitaji utaalamu kujua Simba haina fedha kwa sasa ndio maana Adebayor, Sylla, Aziz Ki na wengineo wakaota mbawa. Na hata Luis jurudi itakuwa ndoto za mchana.Jamaa ni mshambuliaji mzuri sema majeraha yamemuathiri kiasi. Kama uwezekano wa kupewa nafasi nyingine upo na acheze athibitishe ubora wake.
[emoji28][emoji28]..mambo ya ushabiki Hadi mnavunjiana adabuAcha mambo ya kisenge kisenge we dogo. QMMK
Usitake tuvunjiane heshima, kama huwezi kujibu hoja kaa kimya tu
[emoji2959][emoji35][emoji34]
Ana utoto mwingi sana, huwa sipendi kutukana lakini muda mwingine inabidi[emoji28][emoji28]..mambo ya ushabiki Hadi mnavunjiana adabu
Waambie waache kumpiga misumarikwa hiyo bora kuvunja mkataba au kumkaushia halafu acheze miezi miwili the rest anakuwa kwao congo akila bata kwamba ni majeruhi? huyo akibaki by mwezi wa kumi hayuko uwanjani hadi mwakani february, mark my words..hii safu ya ushambuliaji imegharimu sana team msimu ulioishana team bado inawekeza kwa mawinga na siyo washambuliaji wa kati kwa hisia binafsi na kuoneana aibu
Achana na kolo hilo halina maslahiAcha mambo ya kisenge kisenge we dogo. QMMK
Usitake tuvunjiane heshima, kama huwezi kujibu hoja kaa kimya tu
[emoji2959][emoji35][emoji34]