Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga jinga na wanaona sawa tu, unabaki na Mugalu msimu mzima hana goli hata mojaM
Mugalu ana mkataba wa miaka miwili, ambao uko mbioni kuisha. Nadhani wamemuongezea Kama boko. Yani Viongozi wetu hawana vision kabisa.
Hakuna mshambuliaji mwenyesifa za hata nusu za Mugalu katika ligi yetu NBC. Na hakina kocha mzuri ambae hatopenda huduma ya Mugalu
Hakuna mtu hapo, nimeshangaa pia hata Kagere naye eti ameenda. Hii ina maana gani kwa deal ya Manzoki? Kwa kweli sielewi..
utasikia ana hold mabeki wasipande, hivi unaona mayele akishika mpira hata yakuba au babu ntibanzokiza hekaheka zao na mabeki wa kati zinavyokuwa? sasa linganisha kagere boko mugalu wakishika mpira pale mbele..simba mawinga na viungo wametuokolea aibu msimu ulioisha nikadhani watu wamejifunza yanajirudia tena.eti wana sevu hela za kuvunja mkataba..dah
Kuna hata mtu kacheza mpira kwa mafanikio hapa, kuna mtu ana background ya ukocha?
Huenda Mugalu analindwa na takwimu zake kiujumla, msimu uliopita alikuwa na changamoto nyingi. Refer sehemu aliyotoka alifanya nini, na hapa msimu nyuma ya msimu huu alifanya nini...
Mayele huenda hata CAF ikafanya watu waone hana issue, ingawa kakimbiza msimu huu.
Mpira wa afrika una mengi sana , refer issue ya wawa mechi ya wa botswana refer rushwa ya berkane kwa keeper wa mazembe kama huyu mugalu huwa anacheka akikosa magoli ya wazi utashangaa nini kama alichukua rushwa kuchomesha wenzake wacheze pungufu?Mugalu Hana Cha kuoffer. Angalia mechi ya robo fainali ya CAF yeye ndio kaicost timu kwa rafu ya kijinga Sana.
Acha kumpangia mwekezaji, CEO na benchi la ufundi! Kama ukiona yamekuzidi, hamia Ihefu Fc.Kiukweli that guy hana hata uchungu akikosa magoli huwa anatabasamu na kuendelea kutafuna jojo, he is a waste takataka kabisa
sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Ina bore sana huo ni mzigo wa mavi umeubeba wewe unayemkingia kifua huyo mpuuzi , shame on you kwanza jitu lenyewe huwa linacheza miezi miwili tu mingine ni majeraha na ku spend mshahara wa bure huko congo kila siku yuko kwao eti anaumwa.
Mimi pia imeniuma lakini Jambo moja ambalo mashabiki wengi(walimbukeni) au hawaelewi ni kwamba Club zinabajeti na ukiona kabakizwa ujue kakosa team inayohitaji huduma zake kwaiyo kitu pekee ni kuvunja mkataba na Kuvunja Mkataba ni lazima Club iingie mfukoni ito mpunga mrefu kwa mchezaji...sasa fikiria Mfano simba imeuza Bwalya tu alafu kuna wachezaji kama 7 haiwahitaji fikiria loss itayokula kwa kuvunja mikataba ya wachezaji hao?? Kwaio solution ni kusubiri Mkataba uishe waachane kiroho safi...Na sio Simba tu ata uko Duniani unaona mashabiki wa Man U wanashinikiza mfano Maguire aondoke lakini club ikipiga mahesabu ya kuvunja mkataba inaona itakula loss So ni Bora kusubiri Auzike au mkataba uexpire
sawa mr utoAcha kumpangia mwekezaji, CEO na benchi la ufundi! Kama ukiona yamekuzidi, hamia Ihefu Fc.
Jamaa ni mshambuliaji mzuri sema majeraha yamemuathiri kiasi. Kama uwezekano wa kupewa nafasi nyingine upo na acheze athibitishe ubora wake.
Ni msimu mwingine ambao deportovo LA utopolo anaenda kuchukua ubingwa sio kwamba ni wazuri sana Ila sasbabu ya simba kukosa u-serious kwenye usajili.
Mzamiru, gadiel Michael, mugalu, nyoni, kagere, lwanga sio watu wa kuipa matokeo simba, mpira sio mchezo wa takwimu kwamba msimu wa 2010 alifunga magoli 100 basi Leo atafunga 100..mnabaki na mchezaji ambae msimu mzima hana hata goli
Ile mechi pablo ndo alizubaa na tulitoka kwa uzembe wake, mtu kashapewa kadi ya njani baada ya kusamehewa nyingi tu huko nyuma na mpira unaocheza ni wa kukaba mwanzo mwisho(kupaki basi), lakini bado akamrudisha uwanjani.Mechi ya mwisho na Orlando Pirates alipata kadi ya kipuuzi, alipotoka majamaa wakapata goli kwa ajili ya wachezaji pungufu , tungeingia nusu fainali jamaa alitucoast mpumbavu yule.
Mechi ya mwisho na Orlando Pirates alipata kadi ya kipuuzi, alipotoka majamaa wakapata goli kwa ajili ya wachezaji pungufu , tungeingia nusu fainali jamaa alitucoast mpumbavu yule.
Kizer Chief wenyewe walifagia wazee wote na wale wasiofanya vizuri kama Kambole na yule Samir Nuckovich, tena kwa kuwavunjia mikataba ila sisi tunakumbatia tu magarasa.Kagere na Mugalu nikiwaona napatwa na hasira, wanabaki simba kufanya nn? Kwan pale ni NSSF? Inaboa mnoo khaaaah.
Jamaa likikosa goli linatafuna jojo tu.Kweli kabisa, mechi muhimu anazocheza Mugalu huwa anaikaba timu. Nakumbuka ngao ya Jamii alikosa magoli mengi, halafu Wala hajali. Shida viongozi wa Simba wapo pale kwa matumbo yao hawaumii. Acha wamkubatiea azidi kuwashusha Chini.
Shughuli ya kupiga watu mateke tumboni? Msimu mzima uliopita kadugua bench.
Kunywa maji ya limao upunguze hasira.Kagere na Mugalu nikiwaona napatwa na hasira, wanabaki simba kufanya nn? Kwan pale ni NSSF? Inaboa mnoo khaaaah.