Roho yangu imeumia kumuona Mugalu kwenye msafara

Bado Mugalu ni mchezaji mzuri. Sioni sababu ya kupoteza hela kumsajili Manzoki ambaye anafanana Kila kitu na Mugalu.
 
Ahmed Ally alishasema hawasajili Kwa matakwa ya mashabiki. Na sijasikia mashabiki wakikemea Hilo tamko.
 
Unachangia shilingi ngapi hadi utukane watu,Swala la mchezaji kufanya vizuri au kutofanya vizuri ni kawaida kwasababu soka ni kazi kama zilivyo zingine.Au wewe ofisini kwako siku zote unafanyaga vizuri.Mugalu alishacheza simba kwa kiwango kikubwa tu swala lakutofanya vizuri msimu ulioisha haimaanishi kua ni mbaya.Au wewe unajua sana kuliko uongozi wa simba na bench la ufundi?.Nyie ndo wale mashabiki wapuuzi wanaotaka kuingiza mihemko kwenye soka.
 
Katika kikosi chote cha simba mchezaji mbovu kuliko wote pale ni Gadiel Michael uyo apelekwe hta kitayosa kwa mkopo hana hadhi ya kukaa kwenye benchi la simba
Huyu aliniharijia carrier yake Kwa tamaa ya mil.5, alikuwa mfalme Yanga akapiga vibaya hesabu na washauri wa ovyo akapotea. Hivi kweli Gadiel aliamini anakwenda kumnyang'anya namba Shabalala?
 
Ndugu yangu nilikuwa hapa nasubiri utambulisho wa manzoki na beki huyo wa kati ila moyo wangu umeingiwa na simanzi sana kwa kuwaona hao watu
Acha kujipa matumaini makubwa wakati hao wachezaji hawajacheza simba hata nusu msimu.
 
Kagere uwezo wa kufunga bado anao,tatzo msim uliopta katkat palikuwa pabovu
 
Simba wangekubali hasara kwa kuvunja mikataba tu...
Bocco
Mugalu
Kagere
Gadiel
Mhilu
Nyoni
Mzamiru

Hawa hawakutakiwa kuwepo kwenye timu

Muhilu Tayari ameshakatwa kichwa baba jeni bye bye
 
Bado Mugalu ni mchezaji mzuri. Sioni sababu ya kupoteza hela kumsajili Manzoki ambaye anafanana Kila kitu na Mugalu.

Kufanana sura ama nini mkuu [emoji2955]?acha kufananisha manzoki na vitu vya ajabu
 
Nasikia eti kwenye mkataba wa Mugalu kuna kifungu kuwa Simba inatakiwa kumnunulia bigijii za 3400 kila siku Je ni kweli?
 
1.mugalu
2.kagere
3.nyoni
4.mhilu
5.gadiel
Hawa viumbe kubaki simba ni sawa na kusema umeokoka wakati tunguli bado unazo ndani
 
Luis hawezi kurudi yule, ataenda team zilizo level ya Al Ahly.
 
Bado Mugalu ni mchezaji mzuri. Sioni sababu ya kupoteza hela kumsajili Manzoki ambaye anafanana Kila kitu na Mugalu.
Usimfananishe Manzoki na Mugalu tafadhari, muheshimu Manzoki wa watu.
 
Nawee ni shabiki wa mpira? Unajua unachokizungumza??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…