njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kiukweli that guy hana hata uchungu akikosa magoli huwa anatabasamu na kuendelea kutafuna jojo, he is a waste takataka kabisa
Sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Inaboa sana huo ni mzigo wa mavi umeubeba wewe unayemkingia kifua huyo mpuuzi , shame on you kwanza jitu lenyewe huwa linacheza miezi miwili tu mingine ni majeraha na ku spend mshahara wa bure huko congo kila siku yuko kwao eti anaumwa.
Sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Inaboa sana huo ni mzigo wa mavi umeubeba wewe unayemkingia kifua huyo mpuuzi , shame on you kwanza jitu lenyewe huwa linacheza miezi miwili tu mingine ni majeraha na ku spend mshahara wa bure huko congo kila siku yuko kwao eti anaumwa.