Degree nne sio mchezo tuache utani,sio kila moja anaweza kusoma hivyo
Mwacheni mwakyembe ajidai
Punguza wivuAna PHD ya seria lakini alishindwa kuongoza wizara ya Sheria chupu chupu kutumbuliwa!
Unaweza kuona uwezo wake wa kufikiri + elimu ya darasani havioani
Hata wewe unaonekana una elimu kubwa,lkn sina uhakika kama una akiliDegree nne sio mchezo tuache utani,sio kila moja anaweza kusoma hivyo
Mwacheni mwakyembe ajidai
Mimi na mama yako hawala yangu
Weee jamaa Ni zuzu la TaifaDegree nne sio mchezo tuache utani,sio kila moja anaweza kusoma hivyo
Mwacheni mwakyembe ajidai
Kwani Mugabe alikuwa na degree ngapi?. Kumbe mtu anaweza kuwa na madegree mengi na bado akawa KUPE!.
Binafsi sitamani tena kusoma PHD kama PHD zenyewe hizi za akina Lipumba, Bana, Kitila, Magembe, Bashiru, Mwakyembe, Mkandara kutaja kwa uchacheza. Eti upara unasababishwa na kubeba vyombo kilometer 60!!Wabongo mmejaa wivu kwa PhD holders!!
Roma ana Degree?Eti kuwa na degree 4 ndio utakiwi kushauriwa?
Roma degree 1 tu lakini anawahenyesha Phd holders za majalala ajibu hoja zake sio kuongelea mambo binafsi hata wakina Makonda ni zero lakini kila siku anawaelekeza cha kufanya mawaziri mbona ujamjibu wewe Mwakyembe?.
Kumbe ndio maana nchi kaachiwa Magufuli aiendeshe anavyotaka Katiba na sheria kaweka pembeni kisa PhD holder
1Kwa hiyo tuseme Mwakyembe:
1. ana elimu lakini hana akili!
2. Au ana vyote elimu na akili au
3. ana akili hana elimu!
chagua moja tu!