Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

madokta (PhD holders) wengi bongo (si wote) wamejaa majivuno ila kiuhalisia hawana hata ubunifu wowote na mbaya zaidi ni weupe kuanzia kichwani mpaka kiuchumi....
 
Nikweli kimaslai hakuna faida yake binafsi kiuchumi tofauti na wenzie wa wbc, kuna wa sanii wengi tu walikuwa kama yeye sasaiv wamepotea mfano wa gosi wakaya
 
Kwani Mugabe alikuwa na degree ngapi?. Kumbe mtu anaweza kuwa na madegree mengi na bado akawa KUPE!.

Bora hata Mugabe unaweza ukasema alijaliwa walau na akili kidogo! Hawa wa kwetu walio wengi, hupenda tu kujisifia kwa kujiita majina ya Dr nani, sijui prof nani! Mbwembwe nyingii! lakini ukija kwenye kigezo cha akili, hamna kitu.
 
Wabongo mmejaa wivu kwa PhD holders!!
Binafsi sitamani tena kusoma PHD kama PHD zenyewe hizi za akina Lipumba, Bana, Kitila, Magembe, Bashiru, Mwakyembe, Mkandara kutaja kwa uchacheza. Eti upara unasababishwa na kubeba vyombo kilometer 60!!
 
FALSAAFA YANGU; "KADIRI MTU AENDELEAVYO KUSOMA NA KUELIMIKA NDIO HUJIONGEZEA UJINGA, WASIWASI NA MAHANGAIKO!"
 
Eti kuwa na degree 4 ndio utakiwi kushauriwa?

Roma degree 1 tu lakini anawahenyesha Phd holders za majalala ajibu hoja zake sio kuongelea mambo binafsi hata wakina Makonda ni zero lakini kila siku anawaelekeza cha kufanya mawaziri mbona ujamjibu wewe Mwakyembe?.

Kumbe ndio maana nchi kaachiwa Magufuli aiendeshe anavyotaka Katiba na sheria kaweka pembeni kisa PhD holder
Roma ana Degree?
 
alivyoimbwa "Mwakyembe baba lao" alikuwa na degree ngapi??mbona apo kasifiwa na form four na yeye kafundisha vyuo??
 
Back
Top Bottom