Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma arudi shule jamani

Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika

Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Kuna kuja kusoma na ukafaulu,ila kuna utambuzi.Mfano:Wewe hapo yawezekana kabisa unajiju na kujifahamu vema kabisa na hilo halina ubishi ila ukawa hujitambui,yaani wewe unajifahamu/jijua lakini kwakweli kupitia comment yako hapo juu napata uwezo wa kusema HUJITAMBUI.
 
Degree 4 za kwenye certificate na thesis za kawaida sio za uvumbuzi hizo. Swala la kufundisha vyuo ni ku transform tu vilivyo andikwa na wengine una act as a media tu. Waliogundua hivyo vitu wasemaje sasa?
Thesis yenyewe si'ndio ile aliikana.....ila status ya u'Dr/PhD hataki iachia!!!!!pumbafff za haraka'haraka!!!!
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Harmonize alipoimba wimbo wa kusifia chama cha "Magenius" na mtukufu wake sisi tusio upande wake tulivumilia. Beka flavour, Nandy, Diamond, na wengine kibao wameamua kuimba nyimbo za kusifia chama na mtukufu lakini hawakuambiwa wanaimba siasa wala hawakuambiwa wakaanzishe vyama vya siasa.

Na sisi tusio upande wao tuliendelea kuwavumilia tu. Sasa tatizo kajitokeza mmoja tuu akajitofautisha nao akatuimbia sisi tulio upande huu...kwanini nanyi mnashindwa kutuvumilia dawa iwaingie vizuri?
 
Waziri kama kweli yeye ni mwalimu wa sheria atuambie ni sheria ipi ya nchi inakataza mwanamziki hasiimbe nyimbo zinazousu siasa au ligha raisi zinazousu mambo yanayotokea jamii atuambie ni sheria ipi inakataza hasitutishe na shahada nne tunashuhudia watu wenye shahada kama hizo wengi wakishindwa vibaya mahakamani
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Sasa nina mashaka na Digrii za Mwakyembe:
1) Ni kigeugeu. aliwahi kulishwa sumu na nywele zikapeperuka. sijui anavaa wigi? lakini baada ya kuvutishwa bangi ya CCM, sasa kashika adabu anaimba mapambio na kujitoa ufahamu
2) Alikiuka maandishi yake mwenyewe kwenye utafiti wake aliouchapisha, akatoa msimamo tofauti bungeni. Tundu Lissu akamshika shati. Msomi gani huyo asiyeamini alichoandika mwenyewe, tena baada ya kufanya utafiti?

Lakini pia, kuwa na digrii haina maana unatumia common sense. Kama Mwakyembe ana digrii 4, basi Roma Mkatoliki anazo 10!!
 
Mwaki'bolibo ndio aina ile ya wanajamii wale wa "unanijua mimi nani".Wana infiriorty complex mbaya sana.
Kaisadia nini Dunia wewe... Kusoma kasoma yeye ili apate kula na kuishi yeye na familia yake.. Bakhersa hajasoma kumbuka lakini anamuona mwenye Degree ni Fala tu...

Inamaana Mwakyembe siku akikutana na Yesu atamuambia wewe Yesu hujasoma utanishauri nini? IQ aliyotumia Waziri ni Ujinga... aache kujimwambafai...
Mwaki'bolibo ndio aina ile ya wanajamii wale wa "unanijua mimi nani".Wana infiriorty complex mbaya sana.
 
Waimbe zá kusifu tu kama walivyofanya Hármonize, Nandy na Beka flavour.
Roma katibua vumbi.....hao pamoja na Diamond rate ya kujadiliwa mitandaoni imepungua mno,nobody gives isht about them......trending ni Roma.
 
Kamsaidia kupromote wimbo
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
 
Hata Dr. Shika ana PhD lakini amekuwa karubandika analala stendi ya basi.
 
Melo weka kitufe cha dislike ili comment kama hz zipate nyingi
Roma arudi shule jamani

Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika

Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
 
Binafsi sitamani tena kusoma PHD kama PHD zenyewe hizi za akina Lipumba, Bana, Kitila, Magembe, Bashiru, Mwakyembe, Mkandara kutaja kwa uchacheza. Eti upara unasababishwa na kubeba vyombo kilometer 60!!
Huna akili hiyo
 
PhD holder reasoning just like class 2 dropout, that statement he made sounds arrogantly, having all those degrees without blessings and wisdom from God,your knowledge or understanding will be nothing but just like clean water wasting in the dry sand,muheshimiwa tame your tongue and style up as honorable,
 
Kumbe ukiwa na digrii nne unakuwa na ubavu wa kupiga watu marufuku kufunga ndoa mpaka wawe na vyeti vya kuzaliwa!
Ni dhahiri huyu Mwakyembe kama angekuwa raisi basi kufunga ndoa na cheti cha kuzaliwa kungetuhusu maajabu haya.
 
Afterall Roma siyo std7 kama alivyojinasibu mkuu
Degree nne tena? Hawa watu jamii ya Mwakyembe mbona miguu na njia kwa waganga wa kienyeji often kupata "ushauri wa kitaalamu" ingawa hao hata std 3B hawakuliona?

Kitendo cha Waziri kushuka chini na kuanza kujibizana na "standard 4/7" ni ishara tosha hizo degree 4 zilikuwa za kudesa na kukariri tu na wala hazijamsaidia kitu. Otherwise ile sumu ilimuharibu pakubwa
 
Hapo kwenye kuingiliana ndo nimepapenda zaidi,lazima ujifunze tu.
Msomi never stop learning. Huo ndio ukweli. Sio kwa vile una Madegree ishirini ndio unasema sihitaji kujifunza tena, hapana. Tunajifunza kila siku kupitia kuingiliana na watu wengine. Na tunajifunza kutoka kwa watu mbalimbali wanaotuzunguka. You don't expect every one kuwa educated or clever as you are..?!...kwa hio alitaka kusikia ushauri wa nani wa mtu mwenye degree tano? mnhh
 
Back
Top Bottom