Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Rudi shule.Wenzako walipokuwa wakomaa kusoma wewe ulikuwa unashida club eti saizi tukuonee huruma.Nakuambia tena Ukiona mwenye PHD amejeruhiwa sehemu ujue wewe mwenye kadigirii kamoja ungekufa na kusagika.
 
Wazazi wake bwana mkubwa naamini hawana PhD kama yeye je ina maana wakiona kuna mambo fulani anafanya ndivyo sivyo hawawezi kumuita na kumshauri kufanya lililo jema.
 
Ana degree 4 lakini gari lake likiharibika analipeleka gereji na anashauriwa ili lipone nini kifanyike.. pumbavu
 
Kayasema hayo.... unahitaji clip?
Your browser is not able to display this video.
 
Mtume Muhammad (S.A.W) hakuwa na elimu hata ya chekechea.. lakini leo hii hata wenye digriii 200 wanafuata matendo yake na maamrisho yake..
 
Haya mambo ya kujimwambafai kisa elimu yako na kuwaona wengine hawana uwezo wa kukueleza jambo lolote pia ni ukiazi
 
Waziri anayumba sana, wakiiimba mambo ya Sodoma na Gomora hawataki, wakiimba mambo yenye akili hawataki au wanataka nyimbo za cheichei
 
Mpaka sasa kati ya wawili hawa mwenye akili zaidi ameshajulikana

Waswahili husema debe tupu haliishi kutika.
 
Digree nne! Anajua kutengeneza Simu? anajua IC inavyotengenezwa? Hawa ndiyo wale wanaotoswa kwenye maji na Waendesha Ngalawa wanapovuka mito.

Mimi msomi...
Ogelea basi..
Hahahahaa naikumbuka hii kitu pale Ifakara kuna jamaa alileta ujinga wake watu wakamzabika mtoni kumbe hata kupiga mbizi hajui.
 
Waweza kuwa na degree sabini ila moja ndio inafanya kazi..Mzee JK alisema kuhusu KUJIMWAMBAFY lakini yawezekana watu wengi haka kaugonjwa kanawatesa sana..ni bora kusikiliza na kufanyia kazi wazo au kulipuuza kwa kutokujibu kuliko kutoa jibu la kijigamba kusikomsaidia mwanachi ambaye Baba wa Taifa anatambua na alisema anahitaji ukombozi na kusaidiwa na aliyepewa dhamana (Kiongozi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…