Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Kusoma hujui na hata Picha huoni jamani duuu
 
We tetea tu,si hayajajufika. Kwa style ya utawala huu nobody is safe.
 

Salam zako toka kwa Trump. Anawapenda sana nyie msio jitambua na kujikomba kwa watawala dhalimu.

Ha ha ha haaaaaaaaaaa

Unajisikiaje linapokuingia hilo?

Mtanyooka tu

Na bado

Naona mleta mada nae kalike eeeeh, anachumia maumivu juzi anafanya kazi mshama wa JF jana anakuja na uzi huu. Ujanja mwambie awafanyie nyie, hamtumii akili hata kujipanga kutaka kupotosha ukweli wa nyie akina nani. Maslahi yakiguswa inahuhuuuuuu
 

Ni wazue unanilisha!?

Kama wewe unaamini hizi drama wanazojisetia watu kwa maslahi binafsi endelea kuamini.

Mimi niache na yangu navyoamini mimi


Kunyooka mtanyooka tu, na nyie wafata mikumbo bila kupiga breki kufikiria
 
Povu la nini sasa?
 
Kabisa

Naona wanatumana kutunga mambo ili kuchafua viongozi. Wana watu nyuma yao wanajribu kila njia na watakwama tu.

Jana tu yeye na sijui maneja wametoautiana waliyosema. Na bado watu watanyooka tu

Nchi ya Magufuli hii, hakuna blah blah blah
Hao viongozi wenyewe wameshachufuka.
 
Yaaaaap nmekupata mdau ila chamsing andaaaa data koz kw haraharka roma kawekewa bandej mdomon na najua katishiwa vikali ko mwshi WA movie naona kam atoongea chochote cha kiukwel kuhus diz ila atadai nipolisi kujidifend koz anafamilia so jiandae na tunaweight ukwl j4 kutoka kwko mzeeee
 
Kesho mazee asiposema ukweli j4 ukweli utaanikwa.

Sasa wewe jasho hadi kwenye ulimi inakuhusu?
 
Duuuuu mkuuu shkamooo asiposema j4 mwaga kila kitu apaaa
 
Ni wazue unanilisha!?

Kama wewe unaamini hizi drama wanazojisetia watu kwa maslahi binafsi endelea kuamini.

Mimi niache na yangu navyoamini mimi


Kunyooka mtanyooka tu, na nyie wafata mikumbo bila kupiga breki kufikiria

Wewe hasa ni mtetezi wa nani? Wa Daudi au wa Paulo? Maana waweza kujikuta ume bugi step na kumfata ndiye ambaye siye!
Unatumia nguvu nyingi na akili kidogo (kama zipo) kutetea ukweli ulio wazi
 
Wewe hasa ni mtetezi wa nani? Wa Daudi au wa Paulo? Maana waweza kujikuta ume bugi step na kumfata ndiye ambaye siye!
Unatumia nguvu nyingi na akili kidogo (kama zipo) kutetea ukweli ulio wazi
na wewe ni mtetezi wa nani...mbowe au gwajima
 
Hapafai kuondoka hapa ngoj nichukue kiti kabisa
Hahhahahahaaaaa kiti cha mbele kabisa usisahau popcorn [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ngoja NISABUSKRAIBU huu mzigo fasta ...
 
Dah! Najuta kuufungua uzi huu, tunako elekea si kuzuri
Namhurumia sana Roma, yupo kwenye wakati mgumu sana...
 
Reactions: 999
Kwendraaaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…