Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Mfano hapo Tanzania ; unaelewa ni kwa nini wahindi wanaishi maisha wanayoishi ?
Mkuu hapa unaweza kufanunua?umenigusa sana wale jamaa mi huwa siwaelewelew
Wanaishi hivyo kwa sababu wana asili ya yoga na ubaguzi
 
Kwa machache niliyofuatilia Habib Anga yuko ndani ya uhalisia. Kama kuna mahala hakuko sawa kwa nini unapoteza muda wa kuandika blablah zaidi ya kusema mahala fulani ukweli ulikuwa ni hivi.

Muungwana angefanya hivyo tofauti na hivyo unaonekana hujaelimika kwa maana ya kwamba huna ustaarabu na pia mchoyo wa maarifa. Na Habibu Anga atabaki kuwa trusted.

Ila yote kwa yote hakuna humu wa kupita njia za Abramovich zaidi ni kupata uhondo na kuongeza ufahamu wa baadhi ya mambo.
 

Wapuuzi tu hao wanaojifanya ni wajuaji kuliko kutuletea ukweli wanaoujua,ni loosers tu wasio na cha kupost zaidi ya kucritisize wenzao tu
 
Umekurupuka. Mm mwenyewe nampinga posie.
Wapi kwenye comment yangu pamekutatiza
 
Msubhate,
Nilishalisema hili, watu wakanijia juu. Jamaa naona anajiinua kwa wapumbavu wasioweza kudigest kila kitu wanachopewa.

Huyu bwana mdogo anajiita kuwa ni afisa usalama ila hakuna analolijua, watu wanaoelewa mambo wanapita bila kusema.

Mkuu, kama huyu naye ni eagle tuna hasara na janga la kitaifa.
 
sweettablet, post: 33160893, member: 259334"]
To me Poise, you're the stupidest member of JF!
[/QUOTE]

I love that.
 
Hakuna analojua, zaidi ya kuleta theories mbalimbali za watu huko mitandaoni, na imekuwa kawaida yake kuleta hizi story za ujasusi ili kuchukua credit kwa baadhi ya watu humu ndani, kule kwa kaunda suti ataendelea kupasikia tu.
 
Asante sana mkuu kwa kuniunga mkono na kunitia moyo. Means alot kwangu niendelee kwa juhudi, uwezo na maarifa yangu yote
 
Wepesi sana hawa mkuu ndio maana waona nawadharau hata kuwajibu siwajibu...
Nina miaka mitano sasa naandika JF kwa hiyo nimeshaona kila rangi na nishaona kila aina ya watu humu.
Mtu mpumbavu hatupaswi hata kumpa heshima ya kumjibu.
Sie twasonga mbele, ikiisha uzi huu twaweka mwingine tena tena, roho ziwaume mpaka wapate viungulia.

Wepesi sana hawa... wepesi kama karatasi. Na hawastahili hata heshima ya kujibiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…