jitwangabalogi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2018
- 476
- 636
Leo yatosha kwa maovu yake ...acha kesho ijisumbukie yenyewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaishi hivyo kwa sababu wana asili ya yoga na ubaguziMfano hapo Tanzania ; unaelewa ni kwa nini wahindi wanaishi maisha wanayoishi ?
Mkuu hapa unaweza kufanunua?umenigusa sana wale jamaa mi huwa siwaelewelew
Kwa machache niliyofuatilia Habib Anga yuko ndani ya uhalisia. Kama kuna mahala hakuko sawa kwa nini unapoteza muda wa kuandika blablah zaidi ya kusema mahala fulani ukweli ulikuwa ni hivi.
Muungwana angefanya hivyo tofauti na hivyo unaonekana hujaelimika kwa maana ya kwamba huna ustaarabu na pia mchoyo wa maarifa. Na Habibu Anga atabaki kuwa trusted.
Ila yote kwa yote hakuna humu wa kupita njia za Abramovich zaidi ni kupata uhondo na kuongeza ufahamu wa baadhi ya mambo.
Wapuuzi tu hao wanaojifanya ni wajuaji kuliko kutuletea ukweli wanaoujua,ni loosers tu wasio na cha kupost zaidi ya kucritisize wenzao tu
Umekurupuka. Mm mwenyewe nampinga posie.sirmweli
sirmweli
sirmweli
Hizi sijui ni bange.?? Au ni akili za kawaida.!!!!
Mtu kaleta makala yake, tunaosoma mnatuita wapumbavu, sasa nyie waelevu tuleteeni zenu ili tuache za The bold hamtaki.. kazi kupiga majungu kama m#0o imewanasa m#u*D&nI..
Ndugu ,sisi ni wapumbavu tumekubali, sasa tufanye tunamlaumu the bold kwa kutufanya wapumbavu, basi tunakuomba wewe ututoe kwenye upumbavu tuletee makala kama hizi.!! Huwezi.!!!!
Kuna matakataka mnatia hasira jamani, khaaa...
It's stupidity to argue with a stupid person like you who knows nothing but pretends to know.
To me Poise, you're the stupidest member of JF!sweettablet,
Always,I don't acknowledge the mess.
Hakuna analojua, zaidi ya kuleta theories mbalimbali za watu huko mitandaoni, na imekuwa kawaida yake kuleta hizi story za ujasusi ili kuchukua credit kwa baadhi ya watu humu ndani, kule kwa kaunda suti ataendelea kupasikia tu.Msubhate,
Nilishalisema hili, watu wakanijia juu. Jamaa naona anajiinua kwa wapumbavu wasioweza kudigest kila kitu wanachopewa.
Huyu bwana mdogo anajikuta ni afisa usalama ila hakuna analolijua, watu wanaoelewa mambo wanapita bila kusema.
Mkuu, kama huyu naye ni eagle tuna hasara na janga la kitaifa.
sweettablet, post: 33160893, member: 259334"]
To me Poise, you're the stupidest member of JF!
the bold niekuwa nakusoma tu ila sijawahi kuchangia kiukweli una kipaji sana ya uandishi na usomaji wa mambo mengi tofauti tofauti umesoma fani gani mkuu nakuona kama multigenius. Sio wa kchezo mchezo ukiamua kufuatilia jambo. nimekuwa na wewe kwa mara ya kwanza kwenye kisa cha malaysian airways, septemba eleven, ujasusi sebuleni kwetu na hii hapa ya abramovich unatakiwa kupewa kazi na idara yetu nyeti ya taifa kama bado.
Heko sana kwa umri wako mdogo unafanya mambo kama ya abramovich nimeipenda jinsi unavyojua kufuatilia wakati mwingine mpaka nashtuka sana kwa jinsi ulivyo informed.
Kazi nzuli mkuu
Huyu jamaa kwa umri wake angelikuwa mwanafunzi wangu wa "Writing". Lakini, sasa hivi ni ndio najifunza kutoka kwake.
Bold leta mwendelezo kuna kanga za watu huku zimeanikwa tumechoka kuzisoma
Yesu alikosolewa,sshangai kuona habibu anakosolewa na tusishangae kuona anakosolewa..wakosoaji wapo tu snce day one...ni kuwapuuza tu...ttzo watz wengi ni much kno sana..wew km una ukwel wako ambao unaona unafaa kuletwa hapa ulete sio unaongea ongea km barmaid ameona mwekundu...