Roman Catholic, KKKT na makanisa mengine makubwa, Vijana wanaosali kanisani kwenu ni ngumu sana kupata Wachumba kanisani, igeni mfumo wa Wasabato SDA

Roman Catholic, KKKT na makanisa mengine makubwa, Vijana wanaosali kanisani kwenu ni ngumu sana kupata Wachumba kanisani, igeni mfumo wa Wasabato SDA

Mke hatafutwi jiongezee thamani kama mwanaume watakusumbua sana utawambato mpaka utachoka. Hili ina apply kwa wanawake wote duniani.

Sijasema natafuta mke kanisani bali Nimetoa ushauri mzuri kwa makanisa makubwa ya kijumapili waige kutoka sda namna ya kufanya interaction ya vijana wa kike na kiume lwepo makanisani kwanza catalyst italeta ladha ya vijana kuhudhuria ibada na matokeo yatakuwa ni kuoana miongoni mwao.
 
Sijasema natafuta mke kanisani bali Nimetoa ushauri mzuri kwa makanisa makubwa ya kijumapili waige kutoka sda namna ya kufanya interaction ya vijana wa kike na kiume lwepo makanisani kwanza catalyst italeta ladha ya vijana kuhudhuria ibada na matokeo yatakuwa ni kuoana miongoni mwao.
Mimi natoa ushauri kwa vijana wa kiume kuwa mke hatafutwi. Anayetakiwa kutafuta mtu ni mwanamke sio mwanaume. Vijana wa kiume msipoteze muda kuwatafuta wake. Ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu wavulana wanakimbilia ndoa. Maisha kijana wa kiume unatakiwa ujijenge, ujipambanie na usimamie malengo yako. Ukishafanya hayo watakusumbua kama nzi halafu wewe ndio utachagua mke kati ya hao watakao kusumbua.
 
Ukiwa maskini hata usali kila siku makanisa yote hupati mke au utaoa atakukimbia, hata uende misa zote Jpili hata wasichana hawakutaki ng’oo

Tafuta hela alafu ndio utafute mchumba wa kuoa, kijana weka uchumi wako vizuri ndoa inakuja haraka tu.
Agiza supu ya utumbo nitalipa! Umewatolea uvivu vijana na wanaume mapumbabu! Hata ukeshe kanisani na mikutano ya injili! Bila hela hupati mke! Hata ukimpata atakukimbia! 💯
 
Nishauzulia kwenye kanisa la sabato ila nahisi itakuwa kweli, mana Huwa Wana ibada ndefu sana
 
Ukiwa maskini hata usali kila siku makanisa yote hupati mke au utaoa atakukimbia, hata uende misa zote Jpili hata wasichana hawakutaki ng’oo

Tafuta hela alafu ndio utafute mchumba wa kuoa, kijana weka uchumi wako vizuri ndoa inakuja haraka tu.
Facts bro
 
Binafsi ni msharika wa KKKT. nimebahatika kusali madhehebu mengi sana yakiwemo Roman Catholic, TAG,Anglican, SDA, KKKT na mengineyo. nimeenda kwa kualikwa na ndugu , jamaa na marafiki kusikiliza neno la Mungu . ukweli siku niliyosali kwa wasabato nimeona kitu tofauti sana katika ibada zao ambacho sijakiona kanisa lolote.

katika makanisa yote hayo makubwa sijaona mfumo rafiki wa kuwakutanisha vijana wajuane kwa urahisi kanisani kama uliopo kwa wasabato SDA, ukweli ni rahisi sana kwa kijana kupata mchumba, mke au mume kanisani kama huyo kijana anasali kwa wasabato SDA.

kama madhehbu makubwa hasa Roman Catholic na KKKT wangekuwa na huu mfumo vijana wao wangeoana sana maana madhehebu haya yana bahati ya kuwa na waumini wengi wenye uwezo mkubwa ki uchumi, kielimu etc hivyo Ndoa za vijana wanaosali usharika mmoja zingekuwa nyingi sana makanisani

kwa sasa Ndoa za vijana waumini wa kanisa moja la KKKT ama Roman catholic ni chache sana kwa. Sababu mfumo wa ibada wa makanisa makubwa Tanzania kama KKKT ama Roman Catholic haupo rafiki kwa vijana wanaosali pamoja kujuana. Labda wawe waimba kwaya moja ndio watajuana.

nachoongolea mfumo unawakataa vijana. najua kuna vikundi makanisani Mfano Roma Catholic wana viwawa. tatizo Ni mpaka kijana ajiunge viwawa ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada.

Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na kijana mwenzake. Siku hiyo hiyo moja katika wiki atakayoenda kanisani kusali anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake jinsia zote wanakaa pamoja wanajadiliana mambo ya kiimani na kimaisha.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake wa umri wake hapo kanisani. mwisho wa siku anapata Mume ama Mke haraka.

najua Catholic kuna makundi kama PASADA, jumuia, Beach Mass etc . ila tatizo lake Ni mpaka kijana ajiunge kwenda beach mass ama get together ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada. Nimetoa mfano Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na wenzake. Siku hiyo hiyo moja atakayoenda kanisani anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake hapo kanisani

Ni ngumu kijana aliye bize na utafutaji, aende jumuia jumamosi, kijana huyo huyo aende kanisani ibada tena jumapili, kijana huyo huyo tena aende get together sio rahisi kwa maisha ya kisasa ya vijana wengi. mfumo rafiki ni ile ile siku ya ibada kijana atakayoenda yaani jumapili mazingira ya ibada yawe na urafiki wa waumini ku interact kama makanisa ya wasabato wanavyofanya. kijana aliye kwenye miangaiko. ngumu sana kwenda kanisani zaidi ya mara moja kwa wiki. imagine mtu ameajiriwa simba au yanga kama mchezaji mpira. anaanzaje kwenda kanisani mara mbili ama tatu kwa wiki. ama kijana mfanyabiashara.

KKKT ama Catholic unaweza ukawa unasali na kijana mwenzako kanisa moja ili usiongee nae hata siku moja labda ubahatike muwe jumuiya moja. ila kwa wasabato haiwezekani engagement za vijana ni nyingi kanisani hivyo mtajuana tu
Unataka sema wasabato si watafutaji?
 
Binafsi ni msharika wa KKKT. nimebahatika kusali madhehebu mengi sana yakiwemo Roman Catholic, TAG,Anglican, SDA, KKKT na mengineyo. nimeenda kwa kualikwa na ndugu , jamaa na marafiki kusikiliza neno la Mungu . ukweli siku niliyosali kwa wasabato nimeona kitu tofauti sana katika ibada zao ambacho sijakiona kanisa lolote.

katika makanisa yote hayo makubwa sijaona mfumo rafiki wa kuwakutanisha vijana wajuane kwa urahisi kanisani kama uliopo kwa wasabato SDA, ukweli ni rahisi sana kwa kijana kupata mchumba, mke au mume kanisani kama huyo kijana anasali kwa wasabato SDA.

kama madhehbu makubwa hasa Roman Catholic na KKKT wangekuwa na huu mfumo vijana wao wangeoana sana maana madhehebu haya yana bahati ya kuwa na waumini wengi wenye uwezo mkubwa ki uchumi, kielimu etc hivyo Ndoa za vijana wanaosali usharika mmoja zingekuwa nyingi sana makanisani

kwa sasa Ndoa za vijana waumini wa kanisa moja la KKKT ama Roman catholic ni chache sana kwa. Sababu mfumo wa ibada wa makanisa makubwa Tanzania kama KKKT ama Roman Catholic haupo rafiki kwa vijana wanaosali pamoja kujuana. Labda wawe waimba kwaya moja ndio watajuana.

nachoongolea mfumo unawakataa vijana. najua kuna vikundi makanisani Mfano Roma Catholic wana viwawa. tatizo Ni mpaka kijana ajiunge viwawa ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada.

Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na kijana mwenzake. Siku hiyo hiyo moja katika wiki atakayoenda kanisani kusali anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake jinsia zote wanakaa pamoja wanajadiliana mambo ya kiimani na kimaisha.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake wa umri wake hapo kanisani. mwisho wa siku anapata Mume ama Mke haraka.

najua Catholic kuna makundi kama PASADA, jumuia, Beach Mass etc . ila tatizo lake Ni mpaka kijana ajiunge kwenda beach mass ama get together ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada. Nimetoa mfano Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na wenzake. Siku hiyo hiyo moja atakayoenda kanisani anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake hapo kanisani

Ni ngumu kijana aliye bize na utafutaji, aende jumuia jumamosi, kijana huyo huyo aende kanisani ibada tena jumapili, kijana huyo huyo tena aende get together sio rahisi kwa maisha ya kisasa ya vijana wengi. mfumo rafiki ni ile ile siku ya ibada kijana atakayoenda yaani jumapili mazingira ya ibada yawe na urafiki wa waumini ku interact kama makanisa ya wasabato wanavyofanya. kijana aliye kwenye miangaiko. ngumu sana kwenda kanisani zaidi ya mara moja kwa wiki. imagine mtu ameajiriwa simba au yanga kama mchezaji mpira. anaanzaje kwenda kanisani mara mbili ama tatu kwa wiki. ama kijana mfanyabiashara.

KKKT ama Catholic unaweza ukawa unasali na kijana mwenzako kanisa moja ili usiongee nae hata siku moja labda ubahatike muwe jumuiya moja. ila kwa wasabato haiwezekani engagement za vijana ni nyingi kanisani hivyo mtajuana tu
Wakati unawaza hayo uelewe huko Kuna wanawake na wanaume. Mke mwema atoka kwa bwana sio Mwanamke mwema. Kama mtu Hana hofu ya Mungu Ni Mwanamke tu au mwanaume tu mtasalitiana kujificha ficha. Kaa katika njia yake Yesu nawe Yesu atakupa aliye katika njia yake. The rest kutombeana
 
Katika zama hizi hakuna sehemu mbaya ya kutafuta mwenza kama kanisani.

WALIO KATA TAMAA WANAKIMBILIA HUKO,
WALIO FANYA UOVU MWINGI WANAKIMBILIA HUKO HUKO,

NAAM NI HUKO HUKO KUNA WATAKATIFU WA BANDIA,
WATU WANAKUWA WEMA, WAKARIMU,WAPOLE, NA SIFA NYINGI ZA BANDIA WAKIWA KANISANI TU.
NA MTAANI NI KINYUME CHAKE

NDIO ILE KABLA YA NDOA, MNAONGEA VIZURI, ANAHESHIMA, UNYENEYEKEVU, UPENDO KWA NDUGUZO.
BAADA YA NDOA, NI MWENDO WA UBABE, DHARAU, JEURI, KIBURI, HAKUNA UTII, CHUKI KWA NDUGU NA WAZAZI
 
Ulichokizungumza kina ukweli ndani yake, wasabato wanamafundisho yao haswa kwenye ndoa wanasema usifungiwe nira na asiye amini, ndio mana wanawakutanisha watu wao kwa wao ili wajuane na kuoana, i was there changamoto kubwa wasichana wengi ndani ya kanisa hawafikirii nje ya box, hawana uzoefu elekez wa maisha halis, wengi wa mabinti wanatokea kabila fulan hasa wapare wakurya yenye idad kubwa ya wasabato tz, mbaya zaidi wanawake wengi zaidi hawajanyooka maana wengi wameharibiwa ndan yakanisa, wamekutana tangu wadogo kwenye program zao hvyo imekuwa rahis kujamiana tangu wakiwa wadogo. Binafsi mke anapatikana popote inategemea na malez yake huko nyuma.
 
Binafsi ni msharika wa KKKT. nimebahatika kusali madhehebu mengi sana yakiwemo Roman Catholic, TAG,Anglican, SDA, KKKT na mengineyo. nimeenda kwa kualikwa na ndugu , jamaa na marafiki kusikiliza neno la Mungu . ukweli siku niliyosali kwa wasabato nimeona kitu tofauti sana katika ibada zao ambacho sijakiona kanisa lolote.

katika makanisa yote hayo makubwa sijaona mfumo rafiki wa kuwakutanisha vijana wajuane kwa urahisi kanisani kama uliopo kwa wasabato SDA, ukweli ni rahisi sana kwa kijana kupata mchumba, mke au mume kanisani kama huyo kijana anasali kwa wasabato SDA.

kama madhehbu makubwa hasa Roman Catholic na KKKT wangekuwa na huu mfumo vijana wao wangeoana sana maana madhehebu haya yana bahati ya kuwa na waumini wengi wenye uwezo mkubwa ki uchumi, kielimu etc hivyo Ndoa za vijana wanaosali usharika mmoja zingekuwa nyingi sana makanisani

kwa sasa Ndoa za vijana waumini wa kanisa moja la KKKT ama Roman catholic ni chache sana kwa. Sababu mfumo wa ibada wa makanisa makubwa Tanzania kama KKKT ama Roman Catholic haupo rafiki kwa vijana wanaosali pamoja kujuana. Labda wawe waimba kwaya moja ndio watajuana.

nachoongolea mfumo unawakataa vijana. najua kuna vikundi makanisani Mfano Roma Catholic wana viwawa. tatizo Ni mpaka kijana ajiunge viwawa ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada.

Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na kijana mwenzake. Siku hiyo hiyo moja katika wiki atakayoenda kanisani kusali anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake jinsia zote wanakaa pamoja wanajadiliana mambo ya kiimani na kimaisha.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake wa umri wake hapo kanisani. mwisho wa siku anapata Mume ama Mke haraka.

najua Catholic kuna makundi kama PASADA, jumuia, Beach Mass etc . ila tatizo lake Ni mpaka kijana ajiunge kwenda beach mass ama get together ndio atapata nafasi ya kuongea na vijana wenzake waliojiunga pia. Hiyo ni complication tayari. Kwa maisha ya kisasa vijana wengi wapo busy kwenye utafutaji kujiunga hivo vikundi ngumu maana vinakutana siku za utafutaji ama siku zisizo za ibada. Nimetoa mfano Mfumo kama wa wasabato ni mwepesi haumuitaji kijana kujiunga kikundi chochote ili ajuane na wenzake. Siku hiyo hiyo moja atakayoenda kanisani anakutana na vijana wenzake kwa lazima. Maana ibada zao zinaanza na madarasa ambayo yanamlazimisha kijana wa umri fulani aka discuss mambo na vijana wa umri wake.. hapo lazima ajuane na vijana wenzake hapo kanisani

Ni ngumu kijana aliye bize na utafutaji, aende jumuia jumamosi, kijana huyo huyo aende kanisani ibada tena jumapili, kijana huyo huyo tena aende get together sio rahisi kwa maisha ya kisasa ya vijana wengi. mfumo rafiki ni ile ile siku ya ibada kijana atakayoenda yaani jumapili mazingira ya ibada yawe na urafiki wa waumini ku interact kama makanisa ya wasabato wanavyofanya. kijana aliye kwenye miangaiko. ngumu sana kwenda kanisani zaidi ya mara moja kwa wiki. imagine mtu ameajiriwa simba au yanga kama mchezaji mpira. anaanzaje kwenda kanisani mara mbili ama tatu kwa wiki. ama kijana mfanyabiashara.

KKKT ama Catholic unaweza ukawa unasali na kijana mwenzako kanisa moja ili usiongee nae hata siku moja labda ubahatike muwe jumuiya moja. ila kwa wasabato haiwezekani engagement za vijana ni nyingi kanisani hivyo mtajuana tu
Hata Yale makambi yanawasaidia Wasabato
 
Kama ni Hivyo Kwa Nini Sasa hivi vijana wengi wa kisabato wanaoa wakatoliki na walutheri na ndoa zinafungwa Lutheran na Katoliki?
 
Shida wasabato ni ibada ndefu yani siku nzima wanasali tu,kingine mabinti wao wameaminishwa nje ya usabato hakuna ndoa ni upotovu. Hapo unakuta binti umri umeenda hana ndoa vijana wa kisabato wanaenda kuoa nje,bint anachoka anajikuta kazalishwa bila ndoa.

Ushauri wasabato na wakristo kwa ujumla acheni tamaduni za wazungu ruhusuni ndoa ya mke zaidi ya mmoja ndio utamaduni wa kiafrika,hata mitume wa kiisrael walioa wake wengi.
 
Back
Top Bottom