Rombo: Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Kushirikiana na Mpenzi wake Kumuua Mama yake

Rombo: Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Kushirikiana na Mpenzi wake Kumuua Mama yake

Hii changamoto anayo mama mkubwa wangu...
Mama mkubwa amegoma kabisa kuondoka nyumbani kwa bibi.
Watoto wa kike hawapewi ardhi kwa tamaduni cha warombo...lakini yeye amegoma kabisa... Anakuambia huo mji ni kwa wazazi wake hawezi kuondoka kwa wazazi wake.
Na ndugu yake yoyote akikaa hapo nyumbani hata wiki tu atamfanyia visa mpaka aondoke... Na ni mgomvi balaa...
Anagombana na kila mtu yaani.
Siku akiolewa atabakia hapo hapo ?
 
Hii changamoto anayo mama mkubwa wangu...
Mama mkubwa amegoma kabisa kuondoka nyumbani kwa bibi.
Watoto wa kike hawapewi ardhi kwa tamaduni cha warombo...lakini yeye amegoma kabisa... Anakuambia huo mji ni kwa wazazi wake hawezi kuondoka kwa wazazi wake.
Na ndugu yake yoyote akikaa hapo nyumbani hata wiki tu atamfanyia visa mpaka aondoke... Na ni mgomvi balaa...
Anagombana na kila mtu yaani.
Ana umri gani?
 
Ardhi yenyewe hata haifai. Kama kirongo juu huko kumejaa vumbi, top, mteremko na ukame.

Ingawa matukio kama haya uchaggani Ni mengi mnoooo, lakini asimilia kubwa huwa hayafiki kwenye media na mengine huwa yanaishia kwenye pombe za ukoo na misamaha ya ISALE.
 
Daah

Inasikitisha sana aisee, yaani unaua mzazi kisa mali kana kwamba duniani utaishi milele!!!
 
Mwanamke mmoja huko Rombo anashikikiwa na Jeshi la Polisi kwa Kumuua mama yake Mzazi kwa Kushirikiana na Mpenzi wake chanzo kikiwa ni kutoridhika na mali ya Urithi aliyopewa na mama yake.

Mali utafute mwenyewe harafu ije ikuue tena.Matoto ya siku hizi ni hasara ndio maana Korea Kusini hawataki kabisa kuzaa.👇

Screenshot_20220824-164224.png
 
hizi bangi wanazo tumia vijana wakiachiliwa waendelee kutumia bila kuwa ripoti kwa jeshi la polisi, basi usalama na uhai wetu utakuwa mashakani.

Jana tulisikia huko Mtwara kijana kamua Baba yake mzazi eti kisa Baba yake anaingilia ndoa yake leo huko rombo Binti kamua Mama yake mzazi.

Ukichunguza kwa umakini maamuzi kama haya yanafanywa kwa msukumo wa uvutaji wa Bangi/madawa ya kulevya.
 
Uvutaji wa bangi kwa vijana ni tishio la uhai kwa watu wengine haswa ndugu katika familia.

waswahili wanasema;
Mchelea mwana.....hulia mwenyewe.
wazazi/walezi/ndugu/jamaa tunalea tabia ya kuvuta bangi vijana wetu, matokeo yake madhara tunayapata sisi wenyewe.

Ukimuona kijana wako anavuta bangi chukua hatua haraka kwa kuripoti Polisi kabla hajakuua wewe mwenyewe, tatizo wazazi hataki kuwakemea watoto wao.
 
Back
Top Bottom