Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tulijua tu hatakosekana wa kujumuisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulijua tu hatakosekana wa kujumuisha
Rombo sio chuga...anyway ishu ya mauaji hayo ipo sio huko tu japo kwa huko ni kama matukio ni mengi japo sijajua ni kwamba report znafika sana kwenye media kuliko maeneo mengine/mikoa mingine au ishu ikoje.Wadad wa chuga nawagwaya sana.
Wao kuua ni jambo dogo sana.
Najua hilo mkuu.Rombo sio chuga...anyway ishu ya mauaji hayo ipo sio huko tu japo kwa huko ni kama matukio ni mengi japo sijajua ni kwamba report znafika sana kwenye media kuliko maeneo mengine/mikoa mingine au ishu ikoje.
Hivi shida ni nini hadi wanakuwa wanahusudu mali na pesa kuliko chochote unajua hadi sasa bado natafuta majibu sijapata?Wanawake wa Kilimanjaro kukuua kwa sababu ya mali ni jambo la kawaida na kwenye mali hawaangalii kama huyu ni mama ama baba ama mume wanakushughulikia vizuri sana.
Sio uongo watu wa huko ni wa kuogopa kama ukoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga mwenyewe! We mwenyewe umepata hilo wazo kwa sababu unajua kabila lako ndilo lenye ushenzi huo wa kutukuza pesa mpaka mnawatoa uhai wazazi wenu. Ovyoooo......
Huyo dada anatokea maeneo gani; Machame, Rombo, Kibosho, au Marangu?Wapenzi wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua bibi kizee wa miaka 100 kwa kumpiga na kitu kizito kichwani wakati wakigombea ardhi.
Bibi huyo, Felister Silayo, mkazi wa Kijiji cha Kirongo juu, Kata ya Kirongo Samanga, Wilaya ya Rombo alifikwa na umauti Agosti 13 akiwa nyumbani kwake baada ya kuvamiwa na watu hao na kupigwa na kitu kizito kichwani wakati akiingiza ndani majani ya mbuzi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alisema juzi kuwa wapenzi hao walikamatwa juzi na sasa wanaandaa jalada kwa ajili ya kupeleka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao.
“Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro tunawashikilia watu wawili ambao ni wapenzi kwa tuhuma za mauaji ya bibi kizee. Baada ya tukio tulifanikiwa kumkamata mwanamke na kwa bahati mbaya mpenzi wake alitoroka, lakini jana tumemkamata na wote wawili tunao,” alisema.
Kamanda Maigwa alisema chanzo cha mauaji hayo ni mgogoro wa ardhi uliokuwepo muda mrefu tangu mwaka 1990 kati ya bibi huyo na mtoto huyo a kike.
Kutokna na tukio hilo, kamanda Maigwa aliwasihi wananchi kupata hati miliki ya ardhi, ili kuepuka migogoro ya ardhi inayosababisha uvunjifu wa amani na mauji kama hayo. Bibi huyo alizikwa Agosti 20 nyumbani kwake kijiji cha Kirongo juu, kata ya Kirongo Samanga.
Awali, ndugu wa bibi huyo, Plasidi Constantine (60) alidai bibi huyo alikuwa na watoto wawili--- mmoja wa wa kiume na mwingine wa kike na kila mmoja alimpa shamba lake, baada ya mgawanyo wa mashamba mtoto huyo wa kike aligoma kuondoka nyumbani akitaka kuchukua maeneo yote, jambo ambalo lilileta mgogoro.
Aliekeza kuwa hali hiyo ilisababisha mtoto huyo wa kiume kutoroka nyumbani.
“Cha kushangaza huyu mtoto wa kike baada ya kupewa eneo laake hakutaka kuondoka hapa nyumbani kwa huyu bibi akawa anang’ang’ania kukaa.
Alitaka kuchukua maeneo yote mawili...mwisho wa siku ndio hivyo huyu bibi ameuawa. Kwa kweli tunasikitika,” alisema.
Source: Mwananchi
Watu wote wanahusudu pesa hasa wasichana wenye sura nzuri na maumbo ya kuvutia.Hivi shida ni nini hadi wanakuwa wanahusudu mali na pesa kuliko chochote unajua hadi sasa bado natafuta majibu sijapata?
Au kuna kitu kiliingia kwenye maji kikaenda kuwaharibu ubongo hadi wanakuwa ni mazombie kwenye pesa kiasi hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app