Rombo: Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Kushirikiana na Mpenzi wake Kumuua Mama yake

Wadad wa chuga nawagwaya sana.

Wao kuua ni jambo dogo sana.
Rombo sio chuga...anyway ishu ya mauaji hayo ipo sio huko tu japo kwa huko ni kama matukio ni mengi japo sijajua ni kwamba report znafika sana kwenye media kuliko maeneo mengine/mikoa mingine au ishu ikoje.
 
Rombo sio chuga...anyway ishu ya mauaji hayo ipo sio huko tu japo kwa huko ni kama matukio ni mengi japo sijajua ni kwamba report znafika sana kwenye media kuliko maeneo mengine/mikoa mingine au ishu ikoje.
Najua hilo mkuu.
Kwa watu tulio nje ya kanda ya kaskani imezoeleka kua kila mtu wa huko ni mchaga kama ilivyozoeleka kila mtu kutoka mbeya ni mwaisa.
 
Wanawake wa Kilimanjaro kukuua kwa sababu ya mali ni jambo la kawaida na kwenye mali hawaangalii kama huyu ni mama ama baba ama mume wanakushughulikia vizuri sana.

Sio uongo watu wa huko ni wa kuogopa kama ukoma.
Hivi shida ni nini hadi wanakuwa wanahusudu mali na pesa kuliko chochote unajua hadi sasa bado natafuta majibu sijapata?

Au kuna kitu kiliingia kwenye maji kikaenda kuwaharibu ubongo hadi wanakuwa ni mazombie kwenye pesa kiasi hicho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo dada anatokea maeneo gani; Machame, Rombo, Kibosho, au Marangu?
 
Watu wote wanahusudu pesa hasa wasichana wenye sura nzuri na maumbo ya kuvutia.
Style tu ya kuzipata inatofautiana ila wengi wako radhi kufanya ushetani ili wapate pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…