Saikologia ya wanawake wengi awapendi demokrasia. Wanaume wengi wapole, wastaraabu na waungwana 90% wake zao pasua kichwa. Wanaume madikteta wale wanaoongea neno moja la pili ngumi ndoa zao zipo imara.
Hawa viumbe awapendi kabisa demokrasia. Wanaume wote wanaonyanyashwa ni democratic.
Wanapigwa kwa sababu mwanaume akilewa unamzibua tu, hasa wao kushinda kwenye mipombe mimbege, chakula hakuna tumboni nguvu wanatoa wapi? Ndo hapo wanabundwa na wake zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.