Romy Jones ndani ya bifu zito na Lamata!

Weka weka ubuyu.

Halafu ubiyu wako unauweka newsy newsy hivi.

Ubuyu umepimwa kwa viwango vya TBS 🤣🤣

Hatuwezi kuwa tunaongea ma logical fallacy ya logical non sequitur muda wote.

Kazi na dawa 🤣🤣🤣
Basi kesho nauweka kwa heshima yako 🤣🤣🤣

Ubuyu mzito, utatikisa ndoa ya mtu mjini hapa.
 
Sababu zake zinaelezeka mbona ila lamata sio msikiliza wa Sababu za wenzake anajali kazi kuliko utu..
Nakumbuka Naila (Menina) alifiwa na mumewe na wakati huo kajifungua bado anataka aende kwenye Scene kushoot aangalie utu kwanza mengine baadae
Kwa Menina inaweza kuwa kweli alikuwa na makosa ila sio katika hili la RJ.

RJ kazingua, na ndio maana anahaha kumtafuta Lamata waongee wayaweke sawa.
 
Mi ndio nilikuwa nakutegemea wewe ujue?
🤣🤣🤣

Ngoja basi nitawaomba wafuatiliaji wengine watatuambia.
Ila wasanii kazi kama hizi waangalie namna ya kuziweka rasmi
Wawe na mikataba na ratiba zinazo eleweka mtu akikiuka sheria na taratibu zifuatwe
Maana itawakuta mpo kwenye scene mtu ataitwa na mama yake nyumbani ata waacha hapo
 
R.i.P warumi
 
Lakini Romy namuonaga mstaarabu sana, sikutegemea!

Ila kama amewahi kumzingua ndugu yake Diamond mpaka akamsimamisha kazi haishangazi.
Mbabaishaji tu kipimo cha ustaarabu ni pale unapokamilisha kazi ya mtu pindi anapokuamini na ukiona hutaweza unaweka wazi ili mtu atafute njia nyingine, siyo unapokea kazi alafu unaanza kusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…