makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Shukrani mkuu..Jamaa unaujua mpira na umeuangalia.sana, mjadara.unakuwa mtamu ukikutana na anaye jua kama wewe
Majadiliano na mtu anejuwa huwa napenda sana, naenjoy hicho kitu..
Ila kujadiliana na mtu asiejua ni kero inayozaa mabishano yasiyo na msingi. Afadhali mtu asiyejua lakin anaelewa.