Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila hao kajamba nani kuzaa kuna watu wasingekuwepo Duniani.Obama mi tajiri mkubwa lakini ana watoto wawili tu, akina kajamba nani wanazaa mpaka mayai yote yanaisha, eti kila mtoto anakuja na nyota yake.
Bro hata wewe Mungu kakupa akili, sio lazima ufate wanayofanya wengine, usiwe kama maiti unapelekwa Pele kwa tu, Kikwete kaoa hajaoa!Bakheresa kaoa hajaoa!?Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
Kutooa kwa Ronado nj mashart wa mganga wake ujue huyu shetani ni hasara na kama baba yake alikuwa maskini akaoa na kumzaa Ronado inakuwaje yeye tajiri anashindwa kufyatua watotoNani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
nenda ukamuhoji C7 kwanini mpaka sasa hajaoa akikupatia majibu utuletee majibu tuyatafakari tukiona hayana mashiko tuendelee na ndoa zetu hata kama ni pasua kichwa..!?Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
WalishaachanaHata mzee Slaa bado anaishi na mchumba wake Josophina kama sijakosea
Salaleeeee!!!Walishaachana
Akili Kisoda.Mbona wewe Hujaoa Na Huna Utajiri Kama Ronaldo? Kwa Kukusaidia Matajiri Wanaomlipa Mshahara Huyo Mumeo Wameoa Wakiwa na Miaka Ishirini Tu,Arabuni Hakuna Mbuga Za Wanyama Hivyo Hao Akina Ronaldo Na wenzao Wanatumika kama Vivutio Vya Matajiri Wakiwa Wanakimbia kimbia Uwanjani Kugombea Mpila Mmoja Ni Sawa Na Unavyoona Chui Akikimbiza Swala Pale Serengeti.Nani alikuambia kuoa ni dili wewe mwanaume mlalahoi? Kipato chako cha mwezi Ronaldo anakipata kwa sekunde 1 tu, lkn mpk leo hajaoa.
Sasa wewe Choka Mbaya kwann unajitafutia stress?
Hebu taja faida za kuoa ambazo asiyeoa kamwe hawezi kuzipata.
View attachment 3188558
Huyu ndiye mchumba wa Ronaldo.
Kwa Hiyo Ndo Maana Unaogopa Kuwa Mwislamu ?Njoo Kwenye Uislamu Hakuna Atakae Kulazimisha Kuolewa Au Unaona Raha Uko Ukafirini Una mchiti Mumeo Ukijua hawezi Kukuacha Ila huku kwenye Uislamu Ukichiti Kwenu Anachukua mwengine Nafasi Yako.Kama Ni Hivyo Dada Endelea Kudanga Mumeo Hawezi Kukupa Talaka.Mkuu waislam ni kam tu Ronaldo unaoa asubuh jion talaka 3 😄😄 takbiriiiiiii
Wapi huko na mie niendeLkn hata hapa bongo kupata huduma zote za mume bila kuoa inawezekana
Aisee hatari...kumbe kweli hamna mbususu ya bure.AMBAYE ANAMLIPA DOLA 110000 KILA MWEZI KAMA MSHAHARA.
RONALD AMEFANYA ILE SOGEA TUISHI AMBAYO HATA BONGO INAFANYIKA SANA TU
Kuoa oa hovyo na kuzaa zaa tu ni kiashirio cha ujinga na umasikini.Kinacho oa sio hela Bali utimami wa akili ,nafsi na utayari wa kulea(kubeba majukumu na maudhi).
Huna hoja, unaandika upuuzi na ushoga, nadhani ni kwa sababu ya ujinga uliopindukia.Kwani Obama Ni Nani Kwenye Maisha Yako ?Mnashare nini Wewe Na Obama Akifa Utalithi Mali Zake? Kuwa Na Akili japo Kidogo Siku Ukisikia Obama Anatafunwa Na Wewe Tafuta Mume Utafunwe Huko Mbagala.