Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishangaa eti ccm nao wakaanza kuitana, mara eti mwanza kuna mkutano...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui waliishia wapi?Mziki wa kisiasa unaopigwa sasa na CHADEMA ni mzito na mnene sana. CCM wakiongozwa na Chongolo, Kinana na Mjema mwanzoni walitaka kujaribu kupimana ubavu na huo mziki wa CHADEMA, sasa kisanga cha aibu kilichowapata huko mtaani, ikabidi wapoteane na kusepa kimya kimya.
Maisha ndo haya bana.
Sasa wewe ndo unautendea haki mlungulanenda kwa mpuuz mwenzako magufuli ukazikwe naye.
Setano gwa nyoko!!Ccm ni shetani
Wachov u vs Great MenMziki wa kisiasa unaopigwa sasa na CHADEMA ni mzito na mnene sana. CCM wakiongozwa na Chongolo, Kinana na Mjema mwanzoni walitaka kujaribu kupimana ubavu na huo mziki wa CHADEMA, sasa kisanga cha aibu kilichowapata huko mtaani, ikabidi wapoteane na kusepa kimya kimya.
Imeednda hiyoShetani anapigwa Mawe.....imeeeenda
Kila siku kwenye hiyo mikutano ni mkataba wa bandari, mkataba wa bandari, mkataba wa bandari....huo mkataba ukifutwa inaonekana mtachukia sana sababu mtakosa ajenda
Amahelu ga fiki muno mu JF ?Setano gwa nyoko!!