TANZIA Rose Nyerere, Mtoto wa Mwisho wa J.K Nyerere afariki dunia

Alikuwa mzee kuliko mama Yake
 
Kuna thread nyingine humu pia imemtaja JOHN NYERERE kuwa amefariki dunia Muhimbili na kuwa kaka yake Madaraka Nyerere amethibitisha kifo hicho. Ndio kusema watoto wawili wa Mwl. Nyerere wamefariki wakati mmoja au ni misinformation mahali?
Ww Masundi ni mkongwe humu.....
umeshindwaje kutofautisha thread mpya na ya zamani!!??
 
Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Wacheni Unafiki...!!
Angefia kwenye Hospital kubwa India hata ingetajwa isingekua shida....
Angefia Muhimbili pia hata ingetajwa isingeleta shida....

Kafia alipofia Unaumia Hospital iliyojaribu kuokoa Maisha yake kutajwa, au Kwa vile ni Hospital ndogo!!?

Acha Unafiki!
 
Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani ya milele. AMINA
 
yalikuwa ya chini kivipi wakati alikuwa na degrees na mkufunzi wa hadi chuo kikuu?
Labda analinganisha maisha yake na ya Mh. Zitto! Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake na liabudiwe!
 
Labda analinganisha maisha yake na ya Mh. Zitto!
Mkuu hili jina lako la Ndebile ni la asili ya wapi? Na maana yake ni nini?

Kuna kabila moja wao hutoa jina la ndebile kwa watu wenye mapungufu fulani...nikawa curious kidogo kujua khs wewe
 
Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Siku zote hospitali zimekua zikitajwa. Sijawahi kuona taarifa ikisema mtu amefariki baada ya kulazwa hospitali kwa muda bila kutaja jina la hospitali. Mleta taarifa hajakosea lolote, ingekua kosa kama angetaja ugonjwa. Umri wako ukiongezeka utajua hilo ni jambo la kawaida.
 
Conclusion ninayoiona Ni kuwa Kuna kilio Cha Muda mrefu Cha watanzania kutaka familia hii ipewe heshima ya kipekee kabla hawajatoweka wote tunaasili ya ki monarch hivyo tunawatazama Kama ma Prince lakini sivyo wanavyo chukuliwa, vyeo wanalimbikiziwa watoto wa wakuja that is not Honour
 
Mkuu hili jina lako la Ndebile ni la asili ya wapi? Na maana yake ni nini?

Kuna kabila moja wao hutoa jina la ndebile kwa watu wenye mapungufu fulani...nikawa curious kidogo kujua khs wewe
Watoto
Mkuu hili jina lako la Ndebile ni la asili ya wapi? Na maana yake ni nini?

Kuna kabila moja wao hutoa jina la ndebile kwa watu wenye mapungufu fulani...nikawa curious kidogo kujua khs wewe
Ndebile (kisukuma) = watoto njiti
Kuna member kasema maisha ya marehemu yalikuwa ya chini (material things kama nyumba, magari nk) nami nikatoa mfano wa mwanasiasa ambaye ana vitu hivyo lakini bado maisha yake bado ni ya ovyo! Wenye akili wameelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…