Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna ushahidi wa kimazingira usiotia shaka kwamba utajiri wa wanasiasa wengi unatokana na ufujaji wa mali za umma na rushwa kupitia vyeo vya kisiasa walivyonavyo.Na akitumbuliwa tu anapauka ndani ya mwaka mmoja
Ukitaka kuwa mwema usijilinganishe na fulani, we tenda yale ambayo ni mema, fanya mungu ametuamrisha tufanye, utakuwa mwema,Mama kahofu. Yeye na genge la wahuni wanaomshauri walitaka kugeuza kila jema alofayna kua baya.
Hawajafaulu. Magufuli japo hayupo kimwili anazidi kuishi ndani ya myoyo ya mamilioni ya watanzania hadi wahuni wameogopa wote.
Kwa Tanzania case study ya kiongozi bora ni mwalimu Nyerere,ukifanya kinyume chake wewe umepotokaUkitaka kuwa mwema usijilinganishe na fulani, we tenda yale ambayo ni mema, fanya mungu ametuamrisha tufanye, utakuwa mwema,
Sio kujilinganisha, ama kutenda kwa kuangalia fulani, huwezi kuwa mwema.
Marehemu alikuwa mchawi, kumbe we mzinifu, wote si wema.
Kabisa mkuu usiwaone wanatupigia magoti kipindi cha kampeni ikafikiri ni wajinga,wanajua ulaji uliopo hukoKuna ushahidi wa kimazingira usiotia shaka kwamba utajiri wa wanasiasa wengi unatokana na ufujaji wa mali za umma na rushwa kupitia vyeo vya kisiasa walivyonavyo.
Na watanzania wenyewe ni watu wasiojali ama kujua kwamba kila kilichoko serikalini ni mali yao. Hivyo ukiwa mwanasiasa unakula tu maisha!!Kabisa mkuu usiwaone wanatupigia magoti kipindi cha kampeni ikafikiri ni wajinga,wanajua ulaji uliopo huko
Umeuona ulinzi wa sasa hivi.Hapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa gonjwa lisilojulikanaView attachment 2474316
Hata mimi nakumbuka kulikua na vifaru na ndege vita pia.Nikikumbuka Hilo tukio Kuna mama mmoja Alikuwa Ghorofani na ilikatazwa mtu yoyote kukaa Gorofani mama wa watu bila kujua akanyoshewa SMG.
Baada ya sekunde mama alishindwa hata kulala chini baadala yake Aliishia kujikojolea ghafla.
Masikini yule mama Hadi Leo namkumbuka.
Siku ya makabidhiano lilimwagwa jeshi pale zaidi ya wanajeshi askali usala 500.
Mambo ya kuokoteza tu haya mkuu.Mbona kichwa cha habari na maelezo tofauti.
Ukweli rostam karudisha channel ten na magic fm alivyokua kajimilikisha kihuni. Mdogo wake hajaachiwa kahukumiwa kifungo au kulipa shs milioni 259. Kalipa faini milioni 259.
Sasa hivi sheria pia ina option mtu kunegotiate na dpp kisha makubaliano kupelekwa mahakamani kuidhinishwa.
Huyu ndugu ya rostam kahukumiwa sasa unaleta uzi kama vile kuna hila au maelewano haram kati ya rostam azziz na magufuli.
Wenye kumchukia jpm mtapata shida sana. Hamuwezi kumchafua badala yake mtachafuka wenyewe.
Sasa hiyo rushwa ilimnufaisha magufuli kwa lipi kuna pesa ya chanel 10 aliwapa watoto wake?Tunashukuru kwa uthibitisho kwamba Jiwe alilamba rushwa kutoka kwa Rostam
Unaujua ulinzi wa Rais wa Marekani lakini au unaongea tu!Hata Rais wa marekani halindwi hivyo
Nani kakuambia ni mpishi wa Rais??Sawa ni mpishi wa mwendazake
Walinzi wa Rais wa Marekani ni invisible, visible ni wachache sana,na huwezi kukuta yule aide mwenye combat yuko nyuma ya Rais wa USA ,,analindwa na tecnolojia zaidi,sasa huku maaskari visible wenye silaha za kivita kama tuko vitani ni ushamba sanaUnaujua ulinzi wa Rais wa Marekani lakini au unaongea tu!
Naanza kupata shida hata kuhusu hii mada yako
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Aliyegawia hawara nyumba za serikali kwa sasa ni kioo cha jamiiMagufuli alifanya vyema kuwakomesha mafisadi. Ujinga ni kutetea mwizi wa Mali ya umma wakati ni wanyonyaji zaidi ya wakoloni. Mkoloni mweusi ni sumu ndio maana nchi za Africa ziko nyuma sana kimaendeleo. Maendeleo haya yanakwamishw ma watu wachache tu. .
Anaonekana katajirika kama tu bado yupo kwenye siasa na nafasi za uongozi. Akitoka tu kuacha wale wanaopewa huduma maisha yao yote, mara ghfla miradi yote inasinyaa kama vile konokono aliyewekewa chumvi...Then it means hakuna biashara za kweli, nyingi ni za udalali na utakatishaji wa pesa...Lakini kuna somo hapo, kwamba bila serikali kuwa na stake hakuna biashara itasimama sasa kwanini tuishi maisha ya kufikirika na tusi rasimishe tu na kuweka transparency ili kila mtu afaidike na mfumo huo?Usiri unatokana na watu kutaka kutumia siasa kama ngazi ya kupatia mafaninikio.Mtu maskini kabisa, lakini akipata tu nafasi ya kisiasa anatajirika ghafla!!
Hapa umeongea kama huna akili timamuWalinzi wa Rais wa Marekani ni invisible, visible ni wachache sana,na huwezi kukuta yule aide mwenye combat yuko nyuma ya Rais wa USA ,,analindwa na tecnolojia zaidi,sasa huku maaskari visible wenye silaha za kivita kama tuko vitani ni ushamba sana
Endelea Mkuu sababu jamaa ana maovu mengi kuliko mazuri.Post ya mwisho hii kumsema Jpm
Mbona Wana vitambi[emoji16]Hapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa gonjwa lisilojulikanaView attachment 2474316