Rostam Aziz alivyoihonga CCM Channel Ten kumnusuru mdogo wake asifungwe na Hayati Magufuli

Rostam Aziz alivyoihonga CCM Channel Ten kumnusuru mdogo wake asifungwe na Hayati Magufuli

Wamekula sana bata za per diem
Bata gani hao walikuwa wanaishia Chattle tu.
Wanakaa huko Miezi miwili wanaaanza tena kurudi Dar njia nzima wanakula Mahindi ya kuchoma!
Bata wnakula hawa wa sasa. Kila wiki wanakwea pipa.
Sijui wamebakisha kutembelea bara gani...
 
2017
Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally
Kakurwa.

Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group.
Wamiliki wa Chanel 10 na magic Fm
Rostam anapigwa mkwara anakomaa.

2018
Toyota landcruiser iliyotumiwa na Nape kufanya kampeni mwaka 2015 inakamatwa na kurudishwa ofisi za CCM, Nape alishajimilikisha gari hilo utadhani CCM ni mali yake.

October 31 DSM
Mdogo wake Rosta Aziz aitwae Akram anakamatwa maenep ya Oyterbay na kufunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi, kutakatisha pesa, kukamatwa na nyara za serikali, kukamatwa na risasi na bunduki, nyama ya nyati, pembe za ndovu kadhaa,jumla mashtaka 75.

Nov 13, 2018 DSM
Rais Magufuli anakutana na Rosta Aziz Ikulu,nwalichojadili sasa. Anakabidhi Chanel Ten kwa CCM kimya kimya.

Dec 22, 2018 DSM
Mahakama ya hakim mkazi kisutu inamuhukumu Akram Aziz kifungo cha miaka 20 jela au kulioa faini milioni 259.5, pesa inaenda kuchukuliwa fasta na anaachiwa huru.

February 2019 tunatangaziwa kuwa Chanel Ten na Magic FM ni mali ya CCM.
Mbona kichwa cha habari na maelezo tofauti.
Ukweli rostam karudisha channel ten na magic fm alivyokua kajimilikisha kihuni. Mdogo wake hajaachiwa kahukumiwa kifungo au kulipa shs milioni 259. Kalipa faini milioni 259.
Sasa hivi sheria pia ina option mtu kunegotiate na dpp kisha makubaliano kupelekwa mahakamani kuidhinishwa.
Huyu ndugu ya rostam kahukumiwa sasa unaleta uzi kama vile kuna hila au maelewano haram kati ya rostam azziz na magufuli.
Wenye kumchukia jpm mtapata shida sana. Hamuwezi kumchafua badala yake mtachafuka wenyewe.
 
CCM inawezekana wana hisa hata ndani ya Vunjabei
Mtindo huu umeshamiri kwenye uwekezaji karibu wote nchini; swali kama ni effective kwanini usirasimishwe? Hapa ndipo wengi wetu tuna question weledi wa TIS kwenye mambo ya uchumi wa nchi.

Why do you criminalize people simply because wanatafuta njia za kufanikisha biashara zao? Hiyo mitaji unfortunately kutokana na ku operate kwenye black markets inakufa kila mara na nchi inaambulia hasara, huku ikikoleza rushwa na nepotism ili watu waweze kuendeleza hii black market...Why cant we learn?

Yote haya kwasababu ya kushindwa kukubali baadhi ya mambo ambayo ni ukweli kwamba wanasiasa na viongozi wengi wanawekeza humo informally na wengi wanarushwa wakishaondoka kwenye power?! Kisha njia zao za kupata hiyo mitaji waliyowekeza ni through ujanjaujanja wa kutumia sheria kujiwekea malipo kwa shughuli za umma na rushwa kubwa kubwa...
 
Kama TIS ingeliangalia hili kwa jicho la tatu then;
1. Wangerasimisha baadhi ya mambo
2. Wangeondoa sheria zote zinazosababisha watu kupata mianya ya kupiga pesa za umma
3. Wangeweka transparency kwenye njia zote sahihi kwa kila raia kwakufuata jinsi hiyo hiyo katika kuwekeza mitaji na kuweka wazi majina ya wawekezaji wote na hisa zao ama wakiwa public au private
4. Wangeboresha miundo ya boards za public na private badala ya members kuwa wateuliwa basi watokane na wawekezaji wenyewe kwenye hizo crafted corporates ambazo ni informal na formal etc etc
 
Guys, humabeings are rational....Niambieni mwanasiasa mmoja ambaye ana assets zake sehemu fulani kisha anakula maisha hata baada ya kuondoka kwenye mfumo?
Wengi wanaishia kuwa miserable, kwakua hiyo miradi au uwekezaji unategemea zaidi public service badala ya kujiendesha yenyewe...Matokeo ni hasara kwa nchi na watu wote...

Hii ina dumaza uchumi, inapunguza kasi ya expansion ya economy na kuzuia ajira kuongezeka, mwisho wa siku kila mtu anabakia kuwa poor akisulubishwa na relative poverty pale anapochomoka kwa bahati nzuri au mbaya kwenye hii kadhia iliyotufunga sote kuhusu maendeleo
 
Nikikumbuka Hilo tukio Kuna mama mmoja Alikuwa Ghorofani na ilikatazwa mtu yoyote kukaa Gorofani mama wa watu bila kujua akanyoshewa SMG.

Baada ya sekunde mama alishindwa hata kulala chini baadala yake Aliishia kujikojolea ghafla.

Masikini yule mama Hadi Leo namkumbuka.

Siku ya makabidhiano lilimwagwa jeshi pale zaidi ya wanajeshi askali usala 500.
😭😭😭
 
Ame mawazo yako kuhusu kuishi kinadharia kijamaa huku tunautaka ubepari, ukiyaweka kwenye ukurasa mmoja itakuwa yana tija zaidi.

Tanzania kuna mahusiano makubwa sana kati ya kuwa mwanasiasa na kuwa tajiri au kuwa tajiri unayelindwa na mwanasiasa kufanya siasa zako. Jambo ambalo si sahihi!!
 
Ame mawazo yako kuhusu kuishi kinadharia kijamaa huku tunautaka ubepari, ukiyaweka kwenye ukurasa mmoja itakuwa yana tija zaidi.

Tanzania kuna mahusiano makubwa sana kati ya kuwa mwanasiasa na kuwa tajiri au kuwa tajiri unayelindwa na mwanasiasa kufanya siasa zako. Jambo ambalo si sahihi!!
Tuna usiri usiri usio na tija kwa Taifa
 
Mbona kichwa cha habari na maelezo tofauti.
Ukweli rostam karudisha channel ten na magic fm alivyokua kajimilikisha kihuni. Mdogo wake hajaachiwa kahukumiwa kifungo au kulipa shs milioni 259. Kalipa faini milioni 259.
Sasa hivi sheria pia ina option mtu kunegotiate na dpp kisha makubaliano kupelekwa mahakamani kuidhinishwa.
Huyu ndugu ya rostam kahukumiwa sasa unaleta uzi kama vile kuna hila au maelewano haram kati ya rostam azziz na magufuli.
Wenye kumchukia jpm mtapata shida sana. Hamuwezi kumchafua badala yake mtachafuka wenyewe.
Angalia muda aliokamatwa na hukumu kutoka,haikuzidi miezi miwili.
Kwa kweli makosa yake yalikuwa mazito sana sana,kwa familia yao faini ya milioni mia mbili ni sawa na kuachiwa huru tu,maana inatumwa kwa Mpesa na mmoja wa wanafamilia ndani ya dk kumi
 
Usiri unatokana na watu kutaka kutumia siasa kama ngazi ya kupatia mafaninikio.Mtu maskini kabisa, lakini akipata tu nafasi ya kisiasa anatajirika ghafla!!
Na akitumbuliwa tu anapauka ndani ya mwaka mmoja
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom