Rostam Aziz anunua asilimia 31.5 ya Williason Diamonds (Mwadui)

na tukiendelea kusubiri huko mbele almasi nayo inaweza kuwa haina dili pia..tukabaki nayo tunacheza mdako...
Unajua diamond kazi yake sio tu decoration bali ina kazi nyingine...., Issue ni kwamba Tanzania ina resources kibao kuhakikisha tuna-exhaust zote katika kizazi hiki na tunachofanyia hizo pesa hakionekani ni upeo mfupi..., unaongelea mitaji na mashine za kuchimba n.k. unaonaje kama faida ya kwenye diamonds ingetusaidia kuwekeza kwenye madini mengine na kufanya uchimbaji angalau hisa / faida iwe 80 / 20 kwa in our favor ? Hizi ni commanding heights na zingetumika vizuri tungekuwa hatukabani mitaani na vi-tozo vya kwenye miamala (win / win for all)
 
Blacks tuko wapi ama tupo bizee na vumbi la kongo ,yaani akili inayotumika kuwaza ngono ni kubwa mno kuliko unaotumika kwa mambo ya maana na ya msingi
 
Una uhakika gani hao wazawa nao hawatoroshi kimyakimya kwenda huko South Africa? Pale mirerani ni wazawa watupu Ila kila leo wanatorosha Tanzanite kwenda kenya

Hii kauli ya kutorosha mawe mirerani ni ya kipuuzi kabisa huwezi chimba jiwe kwa shida afu upangiwe bei na soko la kuuza, Mimi binafsi utaniua tu.
 
Kwani Rostam na Makaburu wanatofauti gani?

Serikali imemuuzia hiza Rostam au Petra kauza hisa zake?
 
Sisi tunakwama wapi kuwa Kama wao au zaidi?

Chinese wengi waliopo hapa wanabackup kutoka china kwenye financial institutions na government support incase kuna opportunity imeonekana huku....

Indians na Arabs waliopo hapa wengi wana circles zao kwa ajili ya kupigana tafu, lakini pia ipo mikopo rahisi ndani ya familia isiyo na riba, Arabs wengi wanapata support kutoa Oman na UAE kwa kupewa mikopo bila riba au biashara mali kauli mfano mafuta na spare parts na wengine hata kwenda kupewa ajira uarabuni kiundugu kwa ajili ya kusupport wenzao huku..... Uwepo wao hapa unawapa chance ya kuziona opportunity na kuziingia huku wakipata unafuu kama wazawa...wengi unakuta wanarun biashara sio zao wenye nazo hawapo hapa na si watanzania...kazi yao ni kuleta mitaji na waliopo kutorosha hela kupitia njia mbalimbali... Lakini pia walioko nje huwapa connection za masoko uarabuni, umangani na uhindini huko....ndio maana akina Manji, Dewji,Fida hussein ndio wanunuzi na wauzaji wa nafaka na mazao mbalimbali, na madini, JPM alipojaribu kuweka miguu walimkomesha mazao yakadodea wakulima, na Tanzanite ikashuka bei..

Tanzania ina opportunities nyingi sana, Wazawa hawana maarifa, hawana mitaji, hawana acces ya masoko ya kimataifa, chanzo chake ni siasa za kijamaa toka uhuru na ubichwa ngumu wa wanasiasa kuendelea kuamini zama za mawe na ubaguzi wa kidini, kikabila, kindugu nk...

Unahitaji kuandika kitabu juu ya haya...na unaweza hata kutolewa roho, Marehemu Rev Mtikira alikuwa na mengi juu ya hawa watu..
 
Kumbe mgodi wa williamson ulishakuwa hauna thamani kabisa, yaani mgodi wote thamani yake ni kama dola milioni 48 tu kwani kama milioni 15 ni 31.5% basi 100% ni hiyo $47.5m ? Thamani hiyo ni chini kabisa ya gharama ambazo Waziri wa nishaiti anataka kutumia kukodi crane moja ya kufungulia maji bwawa la nyerere.
 
Cooked
 
Kinachoendelea sasa ni looting of our national resources.

Through the so called investments.

Asipotokea mtu kusimama kidete we are all done.

Mzee iba na wewe utaendelea kulalamika hadi mwisho wa dahari. Everyman for himself dunia ya leo.
 
Duh hakika ukitaka kujua story za tajiri tuulize sisi wanyonge.

Asante mkuu
 
Hii kauli ya kutorosha mawe mirerani ni ya kipuuzi kabisa huwezi chimba jiwe kwa shida afu upangiwe bei na soko la kuuza, Mimi binafsi utaniua tu.
Maswala ya kutorosha ww ndio umeyaleta alafu Sasa hivi unapingana nayo. Pumbavu mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…