Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Fisadi papa linajitokeza huyu SI ndio mmiliki WA dowans Leo anajifanya msafi,huyu ndio bingwa was kununua waandishi was habari
 
Rosti tamu kelele zote hizi anatetea wenzake (rangi yake) na kwa vyovyote yeye atafaidika na huu mkataba.
Anasema Slaa sio mwaminifu, ni sawa kabisa, sasa yeye Rosti Tamu ni mwaminifu? tangu lini? labda aanze kesho!
Nimkumbushe tu namna alivyopata umiliki wa Vodacom (T)
Dowans
Alivyokuwa ananunua waandishi wa habari amesahau pia?
 
na aliyeitoa rushwa asemwe na kukamatwa apelekwe mahakamani,na huyu Rosti Tamu iko siku ataliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…