Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Leo mtu mkubwa sana ambaye kapata kushika vyeo vingi CCM na kuwa Mbunge na pia ni mfanyabiashara mjanja mjanja ametamka kwenye press kuwa walimhonga Dr Slaa kwa vile alikuwa anawapelekesha na sasa wamemtosa.

Kumbe CCM inayopinga rushwa (kama ahadi ya chama ya sipokei wala kutoa rushwa) ndiyo kinara wa rushwa na inagawa mpaka vyeo, jee hawa watu wanastahili hata kuwasikiliza?

Tupewe ishara gani kutambua kuwa umasikini wa watu wetu chanzo ni hawa watu? Tumelogwa?

View attachment 2669613
Ameitukana Jamhuri KWA hicho alichosema!!

Kwani alietaka kuniingizia jpm madarakani sio Jamhuri!!?

SASA kama jamhuri iliwatuma watu wamuondoe slaa chadema WEWE ni nani wa kuikosoa!!?

Hujui BAADA ya wanamtandao kupenya ikulu 2005 WENYE mfumo walianza kuzuia madhara MAKUBWA ya hao jamaa kuhodhi nchi HAPO 2007 hadi wa kumng'oa Lowasa KWA kupitia dr slaa!!?na pinda akapenya!!?


Rostam kavumiliwa sana na MFUMO angejikalia tu kimya!mfumo umemlea sana hana haja ya kuukosoa na kuunanga!!!

kameza ndoano ngoja waanze kuvuta lazima utumbo utatoka tu!!
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi

Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Wanahamisha magoli .....hawa tusahau tuhamie malumbano yao
 
Kama Kuna Mungu basi CCM wengi wataingia Jehanam . JPM amefanya KAZI kubwa sana ya kurejesha Chama madarakani Tangu 2015 hapakua na MTU Wa kugombea na kushinda Ndani ya CCM. 2020 hapakua na Mbunge Wa kushinda Ndani ya CCM.
Leo CCM Hao Hao wanakaa kimya wezi wanamtukana MAGUFULI na kuiuza nchi Kwa dharau kubwa sana.
Yuko Wapi Dr. Bashiru Ally.
Yuko Wapi Komredi Hamphrei Polepole.
Yuko Wapi Job Ndugai.
YUPO Wapi Paulo Makonda.
Yuko Wapi Cyprian Musiba?
Wakowapi watanzania wanyonge wanaokosa dawa mahospitalini na kufokewa maofisini Kwa dharau kubwa Kwa wakati Huu ?

2025 CCM isirejee Hata Kwa Katiba hii.
Na Kwa Kariba hii hii CCM italipizwa kisasi humu humu Duniani Kabla ya kinyama
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi

Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Oh kumbe ccm ilimuhonga! Ebo! Kama ndivyo, ccm ni watoa rushwa, na hivyo wala rushwa. Hivyo inabidi tuamini pasipo shaka kuwa ccm wamehongwa na dpworld, rostam katudhihirishia leo
 
FB_IMG_1687809493189.jpg
 
Huyu jamaa kwann kaibuka sana wakati huu
Unauliza hili kwa kutaka kujua, au kwa kudadisi tu?

Huoni hii serikali ya Samia ni serikali yao hawa watu?

Ingeshangaza sana kama usingesikia akisema kitu. Na bado, sasa ndiyo tutaendelea kuwaona hawa watu wakijipambanua ni akina nani hasa.

Hawa ndio watawala wa nchi sasa hivi. Akina Samia ni picha tu za mbele, kabla ya kuwafikia watawala hawa.
 
Yaani nikae kabisa nalisikiliza hili jambazi la kiiran??
 
Huu siyo ubaguzi bali ni kujipendelea na Dunia nzima ni hivyo au unafikiri rostamu anakuona wewe ni sawa na yeye? Ndivyo inavyojidanganya? Sasa kwa taarifa yako hawa Wahindi au Waarabu na Wachina au sijui Persia the only time ukiona wanakujali ni pale wanapokuhitaji wewe mweusi, hawa akina rostamu wanaweza tu kutawala kwa sababu ya watu kama nyie lkn unasahau kwao hawawezi kukupa nafasi yoyote ile.

Kujioendelea siyo Ubaguzi bali ndivyo inavyopaswa kuwa, jamii zote zilizostaaribika zinajipendelea, …
Barack Obama unamjua?
Waziri mkuu wa Uingereza wasasa unamjua?
Unajua maana ya primitivity?
 
Rooo sio tam una usafi gani hapo ulipo docter slaa pigs kazi mhindi huyo kikinuka hapa ndugu zake wapo imdia bombay sisi kwetu hapa hapa Kara tu
 
Kuhongwa?? Yeye hajui kuhonga??

Damu nzito kuliko maji aisee, tupo na Dr. Slaa . Mambo mengine ni struggling tu za kisiasa za mtu binafsi. Sisi tunazungumzia jambo la kitaifa
Hata la Dr Slaa ni la kitaifa. Mtu aliyekaribia kuwa Rais wa Tanzania, acha wamjuae vizuri wamvue kanzu yake. Na kwa habari hii, asijidanganye tena kurudi kwenye Siasa. Ni mtu hatari sana huyu Dr Slaa. Vipesa kidogo tu kaiuza CHADEMA, Je akikutana na akina Bill Gates? Aondoke shetani huyuuuu!
 
Back
Top Bottom