Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wako kwenye Payroll yale watafanyaje kwa mfano?Hivi usalama wa taifa kwanini wanamlea RA?
Yap inawezekanaHuyu bilionea kafanya botox injections asionekane mzee. He appears facially bloated kwa umri wake.
Hii ipo Dk ya ngapi, nimeskiliza press yake sikuskia haya maneno.Leo mtu mkubwa sana ambaye kapata kushika vyeo vingi CCM na kuwa Mbunge na pia ni mfanyabiashara mjanja mjanja ametamka kwenye press kuwa walimhonga Dr Slaa kwa vile alikuwa anawapelekesha na sasa wamemtosa.
Kumbe CCM inayopinga rushwa (kama ahadi ya chama ya sipokei wala kutoa rushwa) ndiyo kinara wa rushwa na inagawa mpaka vyeo, jee hawa watu wanastahili hata kuwasikiliza?
Tupewe ishara gani kutambua kuwa umasikini wa watu wetu chanzo ni hawa watu? Tumelogwa?
View attachment 2669613
Anazungumza very impressive Kiswahili. Kanishinda hata mimi. Nukta na alama za mkato zote kaziheshimu, au labda alikuwa anasoma kwenye script?Yap inawezekana
Anaonekana mzee na ni only 57
Ni vigumu kuitenga Ccm na rushwa, hili linafahamika kitambo tu.Leo mtu mkubwa sana ambaye kapata kushika vyeo vingi CCM na kuwa Mbunge na pia ni mfanyabiashara mjanja mjanja ametamka kwenye press kuwa walimhonga Dr Slaa kwa vile alikuwa anawapelekesha na sasa wamemtosa.
Kumbe CCM inayopinga rushwa (kama ahadi ya chama ya sipokei wala kutoa rushwa) ndiyo kinara wa rushwa na inagawa mpaka vyeo, jee hawa watu wanastahili hata kuwasikiliza?
Tupewe ishara gani kutambua kuwa umasikini wa watu wetu chanzo ni hawa watu? Tumelogwa?
View attachment 2669613
Na hachanganyi na kiingereza 😄Anazungumza very impressive Kiswahili. Kanishinda hata mimi.
Mbaya zaidi, huyo Rostam ametoa tuhuma nyingine nzito sana Kwa watawala wa CCM!Wameanza kuumbuana wenyewe kwa wenyewe. Yaani watoa rushwa na wapokea rushwa.
DP worldHuyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu