Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Ubaguzi wa rangi unatanabaisha mtu anayebagua ana inferiority complex.

Ukiona unambagua binadamu mwenzako kwa rangi yake basi utakuwa umefikia kiwango cha juu kabisa cha ujinga na mara nyingi hali hiyo hutokea pale unapohisi kuzidiwa na kujiona mnyonge mbele ya huyo unayembagua kwa rangi yake.
Hovyo kabisa !

Eti nini? Wanaobaguliwa ndiyo wana low IQ na inferiority complex kama wewe, angalia Wazungu wote Wabaguzi wanajipendelea wao kwanza kabla ya race nyingine, Wajapani wote wabaguzi dhidi ya wengine wasio kama wao, Wachina Wabaguzi na wanajipendelea dhidi ya wageni, Wakorea pia ni Wabaguzi na wanajipendelea wao kwanza, haya niambie nani mwenye low IQ na infreriority complex?

Wewe unabaguliwa hata ndani ya nchi uliozaliwa halafu bado uko hapa kutetea watesi wako, kama siyo inferiority complex ulioingelea ni nini au unafikiri they care about you?
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu

Kwa hili nipo na Rostam.

Amesema kweli ya haki. Mzee wa mihogo ni sahihi.
Kuhusu mahakama zetu kila mtu anajua.
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu


sasa ni tuhuma gani? Huu ni ukweli tu
 
Hamna watu hatujielewi kama watu weusi, upo sahahi, watakuja mazwazwa watakwambia na yeye ni Mtanzania analipenda sana hili taifa. Hawa jamaa wamepora sana mali za taifa hili. Infact utajiri walio nao umetokana na wizi waliofanya toka enzi hizo.

Siyo hivyo tu hao akina rostamu hata kwanza wameshahama na TZ yenyewe na familia zao, Manji yuko wapi? Wanakuja kuchuma na kuondoka.

Rostamu kawekeza Kenya > 200 million dollars kama ni kweli anaipenda Tanzania kwa nini asiiweke hiyo hela hapa TZ ambapo hata ndipo alipoipatia?
 
Siyo hivyo tu hao akina rostamu hata kwanza wameshahama na TZ yenyewe na familia zao, Manji yuko wapi? Wanakuja kuchuma na kuondoka.

Rostamu kawekeza Kenya > 200 million dollars kama ni kweli anaipenda Tanzania kwa nini asiiweke hiyo hela hapa TZ ambapo hata ndipo alipoipatia?
Ulitaka Magufuri amfilisi ili akajenge Chato kuwa ikulu?
 
Ulitaka Magufuri amfilisi ili akajenge Chato kuwa ikulu?

Ameweka 200 million USD Kenya wakati wa Samia wala Magufuli hakuwepo na hiyo fedha hata siajabu wameichukuwa hapa hapa Tanzania, sasa kwa nini akawekeze kwingine hela yote hiyo kama ni kweli anawapenda na kuwajali Watanzania kama mnavyojaribu kujiaminisha?
 
Ameweka 200 million USD Kenya wakati wa Samia wala Magufuli hakuwepo na hiyo fedha hata siajabu wameichukuwa hapa hapa Tanzania, sasa kwa nini akawekeze kwingine hela yote hiyo kama ni kweli anawapenda na kuwajali Watanzania kama mnavyojaribu kujiaminisha?
Soko huria tutafute pesa mpendwa bila kujali tuko wapi.
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Kwa hiyo hapa Rostam anazungumza kwa kumwakilisha nani ?
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Sasa movie ndo imeanza
 
Sidhani kama kuna uongo hapo kwa hayo aliosema. Watanzania tunaendeshwa kwa mihemko na wazimu kichwani.

1) Mikataba Ya Kimataifa (International Contracts) huwa ina tafsiriwa/kuvunjwa/kurekebishwa/kutolewa maelekezo/kudaiwa fidia kwa kutumia Mahakama Ya Kimataifa Ya Biashara pindi mgogoro unapotokea.

Hii ni kwasababu ya kuepusha mataifa au makampuni ya kimataifa, kila mmoja kuvutia upande wake kwenye matumizi ya mahakama za nchi zao pindi mgogoro utakapotokea kwenye mkataba husika.

Mfano, issue ya bandari, Tanzania avutie kutumia Mahakama Za Tanzania ikitokea mgogoro, na Dubai wavutie kutumia Mahakama Za UAE ukitokea mgogoro. Ili kuweka usawa kwenye matumizi ya mahakama basi inatumika ya Mahakama Ya Kimataifa Ya Biashara (Labda pande zote mbili wakubaliane kwa pamoja vinginevyo mahakama gani itumike kukitokea mgogoro).

2) Swala la Dr Slaa, anajulikana yule mzee ni muongo, mzandiki, mfitinishaji na mnafiki. Aliwageuka sio CHADEMA TU, aliwageuka watanzania wote waliokua wanapambana kuitoa CCM kwenye utawala wa kizayuni tokea uhuru wa nchi hii. Na hilo lingetimia 2015! Ila

Akauza utu wake na heshima yake kwa kununuliwa, Akaasi Kambi ya upinzani (Sio chadema tu), Akauza ramani zote za upinzani za kivita, kisha akakimbilia CANADA. Akawa akiishi maisha ya kifahari na upande mwingine akitengeneza sinema anafanya kazi "SUPER MARKET". Watanzania walivo vilaza, wakaamini Dr mwenye PhD anafanya kazi Super Market kufungia wateja mifuko.[emoji23][emoji23][emoji23]

TUKUBALI AU TUKATAE, tutafute sababu kila aina, tuwabague na kuwabeza hawa wanaoongea ukweli licha ya vyama vyao au itikadi;

SPEAKER WA BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE: - kwa pamoja, ndio wameifirimba Tanzania bila kilainishi wala mate kwenye hili swala la bandari! CCM bado ipo kwenye ubora wake wa kuliangamiza taifa!

1) Kupitia kwa Mwang'onda, CCM walitaka kuiuza Kigamboni.

2) Kupitia kwa Kagasheki, CCM walisafirisha wanyama pori kule Arusha. Tena kwa kutumia Uwanja wa Ndege wa KIA, cha ajabu tukaja kuambiwa "Tembo na Twiga wetu wameibiwa sana!!!". Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini kwamba Tembo au Twiga anaibiwa? Mtu akimuiba Tembo au Twiga anakwenda kumficha wapi akishamuiba? Kwenye mfuko wa rambo au box umpitishe Airport?. Watu wanakula hela, wanajichukulia wanyama na kuuza wanavotaka tunaambiwa wanaiba!!!

CCM ndio saratani inayoliangamiza taifa hili!
Amini kuwa Duniani hamnaga haki hata siku moja ni ujanja ujanja tu
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Mi nadhani JAL 2 and 3 next ni SAHIHI kuexcute mission!!

SASA naelewa na his press zao ndio mtego wao!!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo SANA!
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi



Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
wanachekana. ukiwaweka pamoja, dr slaa ana afadhali. ila huyo jamaa hana moral authority ya kumsema mtu yeyote yule hapa Tanzania, ndio maana mengi alimtaja kama fisadi papa. na hadi leo ni fisadi papa.
 
Back
Top Bottom