bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Swali ,Rais Samia kwenye Safari zako unafuatana na Rostam Aziz kama nani?
Kama Dalali wa kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali ,Rais Samia kwenye Safari zako unafuatana na Rostam Aziz kama nani?
Kwanza rostam muhindi,Bora tuaze kubaguana tu.
Hatuna mahakama tuna matawi ya CCM tupuKangaroo Courts haziaminiki mahala popote pale duniani. Aidha, Serikali za Afrika zinazofuata mfumo wa kikomunisti au ujamaa (ambao Waliberali wanauhesabia kama Udikteta) nazo pia haziaminiki. Mahakama zetu zingekuwa zinaaminika, Migogoro itokanayo na Mikataba ya Kimataifa ambayo Serikali imeingia ingekuwa inatatuliwa hapa hapa nchini.
Mh 😳😳😳!! Kwan mfia CCM johnthebaptist na genge lake c walisema akili kubwa Slaa aliondoka CDM sababu walimleta fisadi CDM?Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.
Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.
Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.
Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.
Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani. View attachment 2669430
Anamasilahi yake binafsiRostam ameamua kuingia front sio?...
Muda ni mwalimu mzuri sana tusubiri....
SawasawaSasa mi naona ukiwa mzalendo unaonekana ndo bwege
Hao uliowataja ni zaidi ya wapiga ramli tu hawana nafasi yoyote ndani ya ccm.Mh [emoji15][emoji15][emoji15]!! Kwan mfia CCM johnthebaptist na genge lake c walisema akili kubwa Slaa aliondoka CDM sababu walimleta fisadi CDM?
PointMchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.
Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.
Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.
--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi
Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Rostam ni Mtanzania,ila ana asili ya Iran.Rostam Aziz Sio kila mtanzania akiamua kuita waandishi ni kuwaita na kuongea nao, tambua tumekuheshimu kwa kujificha ndani ya ccm muda mrefu .
Kuhusu bandari jaribu kutambua ukae kimya.
Daaah johnthebaptist 🤣🤣🤣🤣🤣Hao uliowataja ni zaidi ya wapiga ramli tu hawana nafasi yoyote ndani ya ccm.
Hata kichaa mwenzao Slowslow alikuwa hawatambui.
Inasadikika ni Muajemi.
Acha ubaguzi Rostam Azizi ni Mtanzania kama wewe tu kamsema vizuri sana Slaa,Slaa ni mwanasiasa malaya malaya.Arudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.
Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.
Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Kila jambo na wakati wake, huu ndio muda wake wa kusema.Kwa maana hio mwanachama mkongwe na tajiri Bwana Rostam anauthibitishia umma kwamba JPM mwenyekiti wake wa chama na Raisi alikuwa Mhongaji na mtoa rushwa?
Alikuwa wapi kuyasema yote haya?Mbona yeye Slaa kaona jambo kalisema hapohapo yeye kwanini alikaa kimya?
Fisadi namba moja ni Dr Slaa msalitiHuyu anataka kufukua mambo halafu badae asuse. Amesahau dr. Silaa ana faili la orodha ya mafisadi..akae atunze heshima yake iliyopotea enzi za JK mpaka akasusa siasa.
Nani asiyejua ni yeye ndio alikuwa mfadhili namba moja wa Lowasa kule chadema?
Na ukiona mpaka inafikia hatua hii ya kumshambulia mtu moja kwa moja ujue kweli hili jambo la bandari lina nia ovu.
Unakuwa kama huna akili!? Au huna! Walio hai wanataniwa wajifikirie na kutatua matatizo yao wenyewe.Jpm aliua mihimili yote inao unda state lawama zote ziende kwa mwendazake, bunge mahakama na baraza la mawaziri aliziingia nakuweka watu wake