Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wacha tumpigie jiwe atupatie ukweeriiiiiMimi si UVCCM na wala si mmoja wa wafuasi wa JPM, kwa hiyo rostam ambayw naye alikuwa kwenye list of shame yenu naye leo amekuwa msema kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tumpigie jiwe atupatie ukweeriiiiiMimi si UVCCM na wala si mmoja wa wafuasi wa JPM, kwa hiyo rostam ambayw naye alikuwa kwenye list of shame yenu naye leo amekuwa msema kweli?
Umemsahau na YahtoohlaSlaa hana tofauti na Lipumba wakihongwa tu wanatusaliti Watanzania.
Ni mnafiki mkubwaIt was obvious.
Slaa wakati chama chake kikiwa na ushawishi na nguvu za kushika madaraka yeye akajitoa, akapunguza nguvu kwenye chama na kuondoka nchini.
Leo anataka ajionyeshe kwamba anamapenzi makubwa sana nchi hii, sio kweli.
Aligharamia mradi wa kukuza utalii kwa kutumia ROYAL TOUR. Gharama zote alilipa yeye.Huyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu
Sawa fanya hivyo. Ngoja sisi tubaki kwenye bandari wakati ukimpigiaWacha tumpigie jiwe atupatie ukweeriiiii
Jpm aliua mihimili yote inao unda state lawama zote ziende kwa mwendazake, bunge mahakama na baraza la mawaziri aliziingia nakuweka watu wake
Mjinga weweBabu zake walikuwepo tabora zaidi ya miaka 150 iliyopita,bendera ya uhuru ilipopandishwa kila aliyekua ndani ya Tanganyika alikua mtanganyika,unaandika mengi hivi pengine babu zako walitoka Malawi
Ubaguzi wa rangi unatanabaisha mtu anayebagua ana inferiority complex.Arudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.
Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.
Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Anajua anachokifanya...anajua wapi anaweza kupindua meza. Ninachoshangaa ni kwanini issue ya bandari imekwenda kwake kama personal fight! Kulikoni?Rostam ameamua kuingia front sio?...
Muda ni mwalimu mzuri sana tusubiri....
Anaongea kinyamwezi kuliko mimiEndelea kujidang'anya ni mtanzania mwenzako. Just bcz amezaliwa hapa.
Mjinga wewe mrundi unayejiita muha na kujivika uzalendo wa tzMjinga wewe
Ameyakanga huko club house wanamchambua kama karangaMchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.
Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.
Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.
--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi
Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Tupe linkAmeyakanga huko club house wanamchambua kama karanga
Tafuteni nguvu na nyie muwe vizuri kiuchumi,mshike rasilimali za nchiKwa hiyo wewe unaamini mahakama ya huko alikotoka yeye? Hizo akili mmemkabidhi rostam hamwezi kuelewa chochote
Hawa ndiyo madalali wenyewe hawa.Huyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu
Tafuteni na nyie nguvu ya kiuchumiEndelea kujidang'anya ni mtanzania mwenzako. Just bcz amezaliwa hapa.
Piga tu mwaisa.Mchi la kiseng e sana hili.
Na mimi nikipata fursa napiga