Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.

Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.

Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.

Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.

Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani. View attachment 2669430
Na vipi waliofuta tuhuma walizokuwa wanampa lowassa kwa miaka zaidi ya 8 then wakampa kijiti walipewa nini?
 
Arudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.

Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.

Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Babu zake walikuwepo tabora zaidi ya miaka 150 iliyopita,bendera ya uhuru ilipopandishwa kila aliyekua ndani ya Tanganyika alikua mtanganyika,unaandika mengi hivi pengine babu zako walitoka Malawi
 
Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.

Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.

Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.

Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.

Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani. View attachment 2669430
Na vipi waliofuta tuhuma walizokuwa wanampa lowassa kwa miaka zaidi ya 8 then wakampa kijiti walipewa nini?
 
La muhimu ni bandari!
Naona jamaa katimiza lengo ashawatoa vijana kwenye reli badala ya kujadili mkataba wa sasa watahamia kwa slaa. Wanasahau kwanini bwana rostam anatumia nguvu sana na mbona yeye akienda kupongeza jpm ikulu akasema anafanya poa hakusimama kumwambia haya ya kuhonga akina slaa?
Tubaki pale pale, mkataba wa bandari
 
Kila siku tunasema mahakama zetu ni uchafu, ccm wanasema ziko huru. Haya hadi mafisadi wa CCM wanakiri hilo tena hadharani.
 
Naona jamaa katimiza lengo ashawatoa vijana kwenye reli badala ya kujadili mkataba wa sasa watahamia kwa slaa. Wanasahau kwanini bwana rostam anatumia nguvu sana na mbona yeye akienda kupongeza jpm ikulu akasema anafanya poa hakusimama kumwambia haya ya kuhonga akina slaa?
Tubaki pale pale, mkataba wa bandari
Chadema hawanaga akili ndio sababu Zitto Kabwe anawadharau!
 
Naona jamaa katimiza lengo ashawatoa vijana kwenye reli badala ya kujadili mkataba wa sasa watahamia kwa slaa. Wanasahau kwanini bwana rostam anatumia nguvu sana na mbona yeye akienda kupongeza jpm ikulu akasema anafanya poa hakusimama kumwambia haya ya kuhonga akina slaa?
Tubaki pale pale, mkataba wa bandari
Dr Mihogo alihongwa tu
 
Na vipi waliofuta tuhuma walizokuwa wanampa lowassa kwa miaka zaidi ya 8 then wakampa kijiti walipewa nini?
Tumpigie simu Jiwe aliyeamua kumrudisha ndani ya ccm mtu ambaye uvccm mlikuwa mnakesha mkimtukana
 
Huyu fisadi rostam anapata wapi nguvu ya kumsema slaa? Huyu si ndio alituuzia vocha feki na kampuni yake ya shivacom? Na hakushtakiwa? Hawa ndio wamemwingiza mama kwenye matatizo ya bandari Kwa tamaa ya kutaka kupora mali za nchi? Na huyu mtanzania feki anapata wapi uhalali wa kuwazungumzia watanzania origina

Arudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.

Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.

Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Hamna watu hatujielewi kama watu weusi, upo sahahi, watakuja mazwazwa watakwambia na yeye ni Mtanzania analipenda sana hili taifa. Hawa jamaa wamepora sana mali za taifa hili. Infact utajiri walio nao umetokana na wizi waliofanya toka enzi hizo.
 
Tumpigie simu Jiwe aliyeamua kumrudisha ndani ya ccm mtu ambaye uvccm mlikuwa mnakesha mkimtukana
Mimi si UVCCM na wala si mmoja wa wafuasi wa JPM, kwa hiyo rostam ambayw naye alikuwa kwenye list of shame yenu naye leo amekuwa msema kweli?
 
Babu zake walikuwepo tabora zaidi ya miaka 150 iliyopita,bendera ya uhuru ilipopandishwa kila aliyekua ndani ya Tanganyika alikua mtanganyika,unaandika mengi hivi pengine babu zako walitoka Malawi
Endelea kujidang'anya ni mtanzania mwenzako. Just bcz amezaliwa hapa.
 
Babu zake walikuwepo tabora zaidi ya miaka 150 iliyopita,bendera ya uhuru ilipopandishwa kila aliyekua ndani ya Tanganyika alikua mtanganyika,unaandika mengi hivi pengine babu zako walitoka Malawi
Acha kudanganya watu wewe Rostam wala baba zake hajawahi kuwa watu wa Igunga
 
Back
Top Bottom