Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Huyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu
Huyo ndiye mfadhili wa ile sinema ya Roho Tour kule Marekani, ni mtaalam sana wa madili...ndiye pia alichangia % kubwa kumuingiza JK madarakani baadae nadhani unakumbuka ufisadi ulivyoshika hatamu awamu ile.
Kwakifupi ukisikia anatajwatajwa jua kuna harufu kali ya upigaji, tena sio wa kitoto!!.
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi

Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Rostam Aziz Sio kila mtanzania akiamua kuita waandishi ni kuwaita na kuongea nao, tambua tumekuheshimu kwa kujificha ndani ya ccm muda mrefu .

Kuhusu bandari jaribu kutambua ukae kimya.
 
Huyu fisadi rostam anapata wapi nguvu ya kumsema slaa? Huyu si ndio alituuzia vocha feki na kampuni yake ya shivacom? Na hakushtakiwa? Hawa ndio wamemwingiza mama kwenye matatizo ya bandari Kwa tamaa ya kutaka kupora mali za nchi? Na huyu mtanzania feki anapata wapi uhalali wa kuwazungumzia watanzania original?
Hivi nani mtanzania orijino na nani feki?
 
Acha ubaguzi wa rangi leta hoja kitokana na alio sema, katiba ya nchi aina popote anapo sema kama mtanzania atakua na ngozi nyeusi.

Huu siyo ubaguzi bali ni kujipendelea na Dunia nzima ni hivyo au unafikiri rostamu anakuona wewe ni sawa na yeye? Ndivyo inavyojidanganya? Sasa kwa taarifa yako hawa Wahindi au Waarabu na Wachina au sijui Persia the only time ukiona wanakujali ni pale wanapokuhitaji wewe mweusi, hawa akina rostamu wanaweza tu kutawala kwa sababu ya watu kama nyie lkn unasahau kwao hawawezi kukupa nafasi yoyote ile.

Kujioendelea siyo Ubaguzi bali ndivyo inavyopaswa kuwa, jamii zote zilizostaaribika zinajipendelea, …
 
Mwemezaji aje awekeze tz alafu likitokea jambo mahakama ya kisutu
Itoe maamuzi [emoji1]
Nani atakuja wekeza

Ova
 
Arudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.

Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.

Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Tafuteni nguvu,pesa acheni ubaguzi

Ova
 
Huyu fisadi rostam anapata wapi nguvu ya kumsema slaa? Huyu si ndio alituuzia vocha feki na kampuni yake ya shivacom? Na hakushtakiwa? Hawa ndio wamemwingiza mama kwenye matatizo ya bandari Kwa tamaa ya kutaka kupora mali za nchi? Na huyu mtanzania feki anapata wapi uhalali wa kuwazungumzia watanzania original?
Kama nchi nadhani Kuna laana inatafuna nchi
 
Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.

Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.

Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.

Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.

Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani.
 
Back
Top Bottom