Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Sasa mi naona ukiwa mzalendo unaonekana ndo bwegeUsipige mkuu, kuna watu wanakufa kwa kukosa matibabu sahihi, kisa hela zimepigwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mi naona ukiwa mzalendo unaonekana ndo bwegeUsipige mkuu, kuna watu wanakufa kwa kukosa matibabu sahihi, kisa hela zimepigwa.
Huyo ndiye mfadhili wa ile sinema ya Roho Tour kule Marekani, ni mtaalam sana wa madili...ndiye pia alichangia % kubwa kumuingiza JK madarakani baadae nadhani unakumbuka ufisadi ulivyoshika hatamu awamu ile.Huyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu
Hii elimu ungenisaidia kumpa huyo chawa wa rostam anayesema magu ndio alitangaza kudanganya watuAliye tangaza Tanzania kuingia middle economy ni WB, IMF.imeweka vigezo. Ukifika uninhibited automatically
Rostam Aziz Sio kila mtanzania akiamua kuita waandishi ni kuwaita na kuongea nao, tambua tumekuheshimu kwa kujificha ndani ya ccm muda mrefu .Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.
Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.
Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.
--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi
Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Hivi nani mtanzania orijino na nani feki?Huyu fisadi rostam anapata wapi nguvu ya kumsema slaa? Huyu si ndio alituuzia vocha feki na kampuni yake ya shivacom? Na hakushtakiwa? Hawa ndio wamemwingiza mama kwenye matatizo ya bandari Kwa tamaa ya kutaka kupora mali za nchi? Na huyu mtanzania feki anapata wapi uhalali wa kuwazungumzia watanzania original?
Wewe pimbi unafikiri mabeberu yangemsifu magu wakati alikua adui yao namba moja? Tatizo lako ubongo umekabidhi Kwa rostam huwezi kujua haya mamboKwani nani anakusanya kupika na kapeleka data world Bank, we vip hujui ata mchakato wakutangazwa unavo kua.
Acha ubaguzi wa rangi leta hoja kitokana na alio sema, katiba ya nchi aina popote anapo sema kama mtanzania atakua na ngozi nyeusi.
Wakati wa JPM ilikuwa wazi zaidi.Kwani hizo Mahakama zilianza kupata kashfa hizo baada ya JPM kuingia madalakani?
Tafuteni nguvu,pesa acheni ubaguziArudi kwao, Tanzania ndiyo nchi pekee minority wana power na wanatawala tena bila ya aibu, fikiria wewe Mwafrika uzaliwe Irani umiliki kila kitu mpaka wanasiasa halafu ujitokeze kwenye TV ya Taifa Irani unawashutumu wairani na kuwasema vibaya.
Hii yote inawezekana sababu sisi watu weusi ni dhaifu sana, kwa hali ya kawaida huyu alipaswa kujificha na kuomba kukubalika kwetu lkn sisi ndiyo tunaomba kukubaliwa na minority, so sad.
Sikia rostamu, Slaa hata afanye nini ni wetu ni mwenzetu, yuko kama sisi na anafanana na sisi wewe haufanani na sisi, hivyo ukiniuliza mimi nakushauri ujiangalie kwenye kioo tena, hapa ni kwetu sisi na Slaa, got it ?
Kama nchi nadhani Kuna laana inatafuna nchiHuyu fisadi rostam anapata wapi nguvu ya kumsema slaa? Huyu si ndio alituuzia vocha feki na kampuni yake ya shivacom? Na hakushtakiwa? Hawa ndio wamemwingiza mama kwenye matatizo ya bandari Kwa tamaa ya kutaka kupora mali za nchi? Na huyu mtanzania feki anapata wapi uhalali wa kuwazungumzia watanzania original?
Sio ww tu hata mimiMchi la kiseng e sana hili.
Na mimi nikipata fursa napiga
Kwa hiyo wewe unaamini mahakama ya huko alikotoka yeye? Hizo akili mmemkabidhi rostam hamwezi kuelewa chochoteMwemezaji aje awekeze tz alafu likitokea jambo mahakama ya kisutu
Itoe maamuzi [emoji1]
Nani atakuja wekeza
Ova
Ana maslahi ndio maana ana hasira sana na dr slaa kupinga hili deal. Huenda karudi kwenye u king maker kama zamaniHuyu jamaa kwann kaibuka sana wakat huu
Uchumi wa kati ni mpango uliowekwa na mzee mkapa na kuanza kufanyiwa kazi kipindi chake,huyo mtu wenu alidandia gari lilikua linaserereka mteremkoniAlafu nchi ikaingia uchumi wa kati