Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Rostam Aziz: Dkt. Slaa alihongwa 2015 kuisaliti CHADEMA, akapewa Ubalozi

Ubaguzi wa rangi unatanabaisha mtu anayebagua ana inferiority complex.

Ukiona unambagua binadamu mwenzako kwa rangi yake basi utakuwa umefikia kiwango cha juu kabisa cha ujinga na mara nyingi hali hiyo hutokea pale unapohisi kuzidiwa na kujiona mnyonge mbele ya huyo unayembagua kwa rangi yake.
Hovyo kabisa !
Badala na wao wapambane wawe vizuri kiuchumi sisi tunaishia kulialia tu kila siku

Ova
 
Ubaguzi wa rangi unatanabaisha mtu anayebagua ana inferiority complex.

Ukiona unambagua binadamu mwenzako kwa rangi yake basi utakuwa umefikia kiwango cha juu kabisa cha ujinga na mara nyingi hali hiyo hutokea pale unapohisi kuzidiwa na kujiona mnyonge mbele ya huyo unayembagua kwa rangi yake.
Hovyo kabisa !
Basi kama ni hivyo hao waarabu na wahindi watakuwa wamefika kiwango cha juu cha ujinga.

Hao ni wanabuzi sisi hatujafikia hata robo Yao.

Nenda India uone black wanavyobaguliwa taahira wewe!


Unajifungia Tanzania kama likuku lenye ujauzito ndio maana hujui yanavyoendelea duniani
 
Jpm aliua mihimili yote inao unda state lawama zote ziende kwa mwendazake, bunge mahakama na baraza la mawaziri aliziingia nakuweka watu wake
Convax
umebugi hapo, 2015 ndipo Slaa aliachana na Chadema, kama kununuliwa na CCM siyo JPM wakati huo, alikuwa mzee wa Msoga.

These are the facts
 
Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.

Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.

Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.

Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.

Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani. View attachment 2669430
Safi sana Rostam Azizi.
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi

Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
Rost yupo Sahihi kbs ✔️✔️✔️
 
Mchana wa leo Rostam amefanya mkutano na waandishi wa habari. Pamoja na mambo mengine ametoa tuhuma nzito kwa serikali na mahakama.

Amesema Dr. Slaa alinunuliwa wakati wa uchaguzi na kukisaliti chama chake cha Chadema na kisha kupewa ubalozi. Hizi ni tuhuma nzito za rushwa wakati wa uchaguzi.

Rostam anasema mashtaka ya mkataba wa kimataifa hayawezi kupelekwa kwenye mahakama zetu kwa sababu Mtu wa serikalini anaweza tu kupiga simu kwa hakimu au Jaji na kumpa maelekezo ya hukumu. Mahakama yetu ina majibu wa kujibu tuhuma hizo.

--
Watanzania wakumbuke kuwa, huyu mtu (Dkt. Slaa) alipokuwa CHADEMA mwaka 2015 alikisaliti chama chake wakati kukiwa kinaelekea kwenye uchaguzi, alikisaliti chama chake kwa kuhongwa, alihongwa ndipo akaasi na kukisaliti chama chake (CHADEMA). Alikaa zake pale Serena baada ya pale akapanda ndege kwenda Canada na kisha akapewa ubalozi

Kwa kifupi Dkt. Slaa hana uadilifu wala uaminifu wa kunisema, mtu ambaye hana msimamo, mbinafsi , anayeangalia maslahi yake na hajawahi kuchangia chochote katika uchumi wa nchi yetu kazi yake ni kupiga tu mdomo. Mtu wa namna hii kumjibu ni shida lakini ni lazima wakati mwingine umjibu
sasa ni uongo? Wakati ni kazi ya mwendazake hii!
 
Lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani.

Wana cdm tuliongea sana mara baada ya kusalitiwa na Dr Slaa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi.

Wengi tulikuwa na mawazo ya kuwa Slaa amehongwa ili asaliti ukawa usipate ushindi wa kutosha.

Hatimaye leo hii habari hii imerudiwa tena na mwana siasa mwenzake na tajiri mkubwa hapa nchini.

Ukweli utabakia kuwa ukweli kuwa Dr Slaaa alisaliti upnzani. View attachment 2669430
Billion 2.5 , hata mimi ningeasi
 
Back
Top Bottom