Rostam Aziz: Mjadala wa Bandari unajadiliwa kishabiki. Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana

Tafuta kitabu cha Mkapa kisome kilaza wewe!!
Kama marehemu mwenyewe alisema alichukua ubunifu huo wa Rostamu wewe nani kupinga?
Wewe ni mjinga.nimekuuliza unajua maana ua ubunifu.au ukishakua chawa ndo na akili zinakutoka.Kwahiyo tanzania ndo nchi ya kwanza kua na bima ya afya duniani?.jinga wewe.
 
Baadhi ya wakristo Wana chuki binafsi na Rais,wanatamani Rais awe wa dini yao miaka yote,Hawa viumbe Wana roho mbaya hawafai kupewa madaraka kabisa wagalatia
 
Wenye asili ya Tanganyika ndio wanaoona mapungufu ya mkataba.., ila wale wenye asili yao daaaah wanauona mkataba uko vizuri tu.
 
R
Rostam ni kati ya mafisadi papa nchi hii, ametuibia sana na huu Mkataba nasikia ni kati ya vigogo wanufaika. Tukipata uhuru kamili anastahili kitanzi shingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…