nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Nimeanza kuamini, nyuma ya Dp World kuna C. I. A...
Ndio maana mwa-fulani yuko ndwiii...
Ndio maana mwa-fulani yuko ndwiii...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakulazimishwa
Kwenye mjadala huu nimewajua wakirito ni watu waina ganiMwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Naongezea ni mlipa kodi mkubwaMnyamwezi wa Igunga Tabora
Ndiyo mbunifu alieifanya serikali kuanzisha mfumo wa Bima ya Afya
Mwaka 1995 akiwa mbunge wa Igunga alianzisha mfumo wa Bima ya Afya, mkapa aka copy kwake na kuuingiza serikalini.
Wewe mzalendo umefanya nini kwa Tanzania?
Hawakulazimishwa
Tatizo lako umejaa kama kifutu kwa chuki,kasema hana shaka na mjadala wa bandari kinacho muudhi kuingiza Udini!!!Ndiyo iendeshwe milele? Ndiyo bandari zote apewe mtu mmoja? Bandari ni swala la muungano au siyo muungano?
Pia nimlipaji mkubwa wa kodi pia kaajiri ndugu zako wengi,wewe huna zaidi ya chukiHuo ndo ubunifu aliolifanyia Taifa lako?
Unauliza kabila kwani unataka kutambika hapa, achana upuuzi wa ukabila, kabila linamsaada gani katika maisha ya binadamu. Huyo ni mtanzania kabila lake halituhusu chcochote.Huyu ni kabila gani?
Alikuwa rais waziri mkuu jaji makamo wa raisi?shukuru analipa kodi pia kaajiri watanzania wengi,wewe ulicho ni chuki tu na msjunguHuyu muajemi hakutakiwa hata aseme chochote,ameiumiza sana nchi hii.
Wewe si mzawa kwanini usiende mahakamani?Rostam anajaribu ku justify ufisadi wake. Huyu ndio amejikwapulia ardhibya Oysterbay Polisi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akifa wewe utakuwa tajiri? Ukute hata mlo wa mchana umekupita tu.Tanesco yumo, madini yumo, gas yumo, mafuta yumo mungu atamakiza ugomvi wetu na wewe
Kwanini watanganyika ni wazito hivi kuelewa? Ukisoma hoja yangu ililenga ukabika?Unauliza kabila kwani unataka kutambika hapa, achana upuuzi wa ukabila, kabila linamsaada gani katika maisha ya binadamu. Huyo ni mtanzania kabila lake halituhusu chcochote.
Mbona hana tofauti na hao wengine wote wanaopotosha kuhusu swala husika?
Kweli kabisa. Ndiyo hoja watakazokuja nazoHuyu ni kabila gani? Hana uraia nchi nyingine?. Haya ndo maswali ya wazalendo ajiandae kama anataka kuyajibu.
Ameiumizaje? Usirithi adui, tafuta helaHuyu muajemi hakutakiwa hata aseme chochote,ameiumiza sana nchi hii.
"Hukufikiri kabla ya kuandika". uliyoandika hapa (kama vineno vyako hapo chini ya jina lako vinavyokupasa ufanye).[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akifa wewe utakuwa tajiri? Ukute hata mlo wa mchana umekupita tu.
Hawa akina Roast, ndio wenye serikali...kupoteza muelekeo wa mjadala ni uamuzi wa wanaojadiliana.
..na mfano mmoja ni yeye Rostam anapojaribu kumlisha maneno Mbowe kuwa amezungumzia Utanganyika vs Uzanzibari tu.
..yeye Rostam mbona hakuzungumzia mazuri na mapungufu ya makubaliano ya Dubai / DP na Tanganyika?
Kwanini watanganyika ni wazito hivi kuelewa? Ukisoma hoja yangu ililenga ukabika?
Na wanaopigia makelele ni maskini ambao hawachangii hata mia kwenye Kodi 😁😁Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Rostam sio mtanganganyika, hivyo hana uchungu na raslimali za Tanganyika. Yeye aendelee kuchuma kwenye hili shamba la bibi. Hawezi kuumia Mzanzibari akiuza Tanganyika yetu.Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260