Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Matusi ya nini! Huo ndo ukweli, kataa achaKwenda zako huko na ujinga wako. Wewe mke wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya nini! Huo ndo ukweli, kataa achaKwenda zako huko na ujinga wako. Wewe mke wake?
Kwamba Tz ndiyo nchi ya kwanza kuwa na bima ya afya?Tafuta kitabu cha Mkapa kisome kilaza wewe!!
Kama marehemu mwenyewe alisema alichukua ubunifu huo wa Rostamu wewe nani kupinga?
Umeishia darasa la ngapi? Nadhani una changamoto kubwa sana ya uelewa.Kwamba Tz ndiyo nchi ya kwanza kuwa na bima ya afya?
Rostam ndiyo anaongoza magenge yote ya utapeli hapa TanzaniaKwenda zako huko na ujinga wako. Wewe mke wake?
Ukweli wako na huyo mumeo?Matusi ya nini! Huo ndo ukweli, kataa acha
HawakulazimishwaRostam anajaribu ku justify ufisadi wake. Huyu ndio amejikwapulia ardhibya Oysterbay Polisi
Mimi mwanaume, nina mke na watoto. Siko huo upande wako wa mwanaume kuolewaUkweli wako na huyo mumeo?
Kabisa. Hata kwenye hili la bandari anajua atakavyofaidi. Hawa ndiyo watatumika kutorosha raslimali zetu. Hii list ni ndefu na Kikwete mlegezo yupo. Ole wao Magufuli aliwahurumia na sasa wamerudi kwa nguvu zaidi.Rostam ndiyo anaongoza magenge yote ya utapeli hapa Tanzania
Wewe ni mjinga.nimekuuliza unajua maana ua ubunifu.au ukishakua chawa ndo na akili zinakutoka.Kwahiyo tanzania ndo nchi ya kwanza kua na bima ya afya duniani?.jinga wewe.Tafuta kitabu cha Mkapa kisome kilaza wewe!!
Kama marehemu mwenyewe alisema alichukua ubunifu huo wa Rostamu wewe nani kupinga?
Baadhi ya wakristo Wana chuki binafsi na Rais,wanatamani Rais awe wa dini yao miaka yote,Hawa viumbe Wana roho mbaya hawafai kupewa madaraka kabisa wagalatiaMwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Wenye asili ya Tanganyika ndio wanaoona mapungufu ya mkataba.., ila wale wenye asili yao daaaah wanauona mkataba uko vizuri tu.Mwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Rostam ni kati ya mafisadi papa nchi hii, ametuibia sana na huu Mkataba nasikia ni kati ya vigogo wanufaika. Tukipata uhuru kamili anastahili kitanzi shingoniMwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Jibu swali acha kumanga manga.Umeishia darasa la ngapi? Nadhani una changamoto kubwa sana ya uelewa.
Haya matapeli ndiyo yanaitafuna nchi yetu vizuri snKabisa. Hata kwenye hili la bandari anajua atakavyofaidi. Hawa ndiyo watatumika kutorosha raslimali zetu. Hii list ni ndefu na Kikwete mlegezo yupo. Ole wao Magufuli aliwahurumia na sasa wamerudi kwa nguvu zaidi.
Na ile kaptura yake alovaa siku ya yanga ya "Mjomba Kaja" tokea ulaya.Kwenye huo mkutano wangemweka msanii DIAMOND PLATNUMZ yaani yule rais wa wasafi.
atoe hoja zake yakinifu huku akiwa amevaa vyeni na ice kwa meno. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]