Rostam Aziz: Mjadala wa Bandari unajadiliwa kishabiki. Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana

Kwenye mjadala huu nimewajua wakirito ni watu waina gani
 
Naongezea ni mlipa kodi mkubwa
 
Ndiyo iendeshwe milele? Ndiyo bandari zote apewe mtu mmoja? Bandari ni swala la muungano au siyo muungano?
Tatizo lako umejaa kama kifutu kwa chuki,kasema hana shaka na mjadala wa bandari kinacho muudhi kuingiza Udini!!!
 
Huyu ni kabila gani?
Unauliza kabila kwani unataka kutambika hapa, achana upuuzi wa ukabila, kabila linamsaada gani katika maisha ya binadamu. Huyo ni mtanzania kabila lake halituhusu chcochote.
 
Unauliza kabila kwani unataka kutambika hapa, achana upuuzi wa ukabila, kabila linamsaada gani katika maisha ya binadamu. Huyo ni mtanzania kabila lake halituhusu chcochote.
Kwanini watanganyika ni wazito hivi kuelewa? Ukisoma hoja yangu ililenga ukabika?
 
Rostam ana hoja nzuri, asipuuzwe.....

JokaKuu Mag3 Nguruvi3 Kalamu zitto junior
Mbona hana tofauti na hao wengine wote wanaopotosha kuhusu swala husika?

Kwani hoja ni kuwekeza kwenye Bandari, au ni uwekezaji wenye tija kwa Tanzania?

Huyo Roast umemsikia akichambua makubaliano yaliyosainiwa, na kupitishwa na Bunge?

Akichambua matakwa ya mikataba hiyo na kuonyesha kuwa hakuna madhara juu yake ni nani atapinga?

Mkuu 'Proved', hili swala la DP World hata kama ni zuri kwetu, mbona hawa wanaolipigia kelele sana ni kama wanawaona waTanzania wote hawana akili?
Azungumzie mikataba, uwekezaji hakuna anayeupinga.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Akifa wewe utakuwa tajiri? Ukute hata mlo wa mchana umekupita tu.
"Hukufikiri kabla ya kuandika". uliyoandika hapa (kama vineno vyako hapo chini ya jina lako vinavyokupasa ufanye).

Huyo uliyemjibu hapo juu, alikueleza kuwa anataka utajiri wa huyo Roastam?
 
Hawa akina Roast, ndio wenye serikali.
Serikali ya Samia inatengeneza' oligarch' wake, ambao ndio hawa hawa akina Roastam.

Roastam hana shida yoyote na ufanisi wa Tanzania, mradi yeye na shughuli zake zifane kwa njia yoyote iwezekanayo.
Samia anapigana usiku na mchana hawa watu waneemeke, hata kama Tanzania inaumia.
 
Na wanaopigia makelele ni maskini ambao hawachangii hata mia kwenye Kodi 😁😁
 
Rostam sio mtanganganyika, hivyo hana uchungu na raslimali za Tanganyika. Yeye aendelee kuchuma kwenye hili shamba la bibi. Hawezi kuumia Mzanzibari akiuza Tanganyika yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…