Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuza Bandari kwa Wakoloni wa KiarabuMnyamwezi wa Igunga Tabora
Ndiyo mbunifu alieifanya serikali kuanzisha mfumo wa Bima ya Afya
Mwaka 1995 akiwa mbunge wa Igunga alianzisha mfumo wa Bima ya Afya, mkapa aka copy kwake na kuuingiza serikalini.
Wewe mzalendo umefanya nini kwa Tanzania?
Hao wengine wamesemaje ? Nani aliefadhili mkutano huo? Kwani alifadhili au kuandaa? Nani anafanya maamuzi nchi hiiMwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Huyu Hana sera wanaosifia hoja mfu kama hizi ni kama mwanaume anayejawa tamaa baada ya kumwona Binti mrembo bila ya kujua tabia yake na kesho humuua. Hivi Tanzania na Marekani wapi wanautambuzi wa haraka juu ya mambo ya mikataba? Na kama shida ni vifaa vya kupakia na kupakua mizigo wanashidwa vipi kuboresha ? Kama mwekezaji anashea na serikali wapi imewekwa katika Katiba mama ya mkataba? Kwanini amiliki aridhi yetu,anga na bahari zote? Kama uwekezaji so shida kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hatoki hadharani na kuelezea au kufafanua vipengere vya mkataba huo kama Sheria na Katiba yetu inavyeleza? Au nchi Haina mwanasheria mkuu wa serikali? Kama yupo ipi kazi yake ? Hapo utagundua watu wavivu wa kufikiri ndo watakubali huu mkataba. Hii ni sawa na waziri wa mazingira aliyesema watu watumie nishati mbadala kupikia mahoteli yanayopikia watu chini ya 100 kisha wakatengeneza kabajeti ka Gase kadhaa vijijini kugawiwa badala ya kupunguza bei wengi waweze kununua unagawia wachache ukihisi Kuni azitatumika tena. NB Vijana tuache ushabiki katika maswala ya Taifa huna hoja Bora ukakaa kimyaa tuMwekezaji ambaye Mkurugenzi wa Taifa Group, Rostam Azizi amesema kuwa katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi Nchi imekubaliana Serikali hisifanye biashara kwa lengo la kuongeza uwajibikaji na kuchochea maendeleo.
Amesema kwa upande wake hana tatizo na mjadala wa Bandari lakini katika kufuatilia mjadala huo anachukizwa mjadala huo kuwa wa kishabiki na kuibua udini na ubaguzi "Unamuona kiongozi mkubwa anaanza kuzungumza Uzanzibar na Utanganyika"
Amesisitiza kuwa mjadala huo umekuwa ukijadiliwa kishabiki sana huku akidai kuwa Bandari kuendeshwa na wawekezaji ni jambo la busara sana.
Ameyasema hayo katika mjadala unaendelea Serena Hoteli leo Jumatatu, ambao umeandaliwa na taasisi ya Media Brains “Kulinda na Kuendeleza Umoja wa Kitaifa Wakati wa Mageuzi ya Kisiasa na Kiuchumi” (Protecting and Promoting National Cohesion in Times of Political and Economic Reforms).
Baadhi ya washiriki katika mjadala huo ambao wanatarajiwa kutoa maoni ni Katibu wa TEC, Padre Kitima, Jenerali Ulimwengu, Zitto Kabwe, Godbless Lema, Steven Wasira, Prof. Kitila Mkumbo
(Taarifa zaidi katika mjadala huu zitaenedelea kukujia).
View attachment 2662260
Azarel ! Ni raia kama raia wengine... by the way who are you kuuliza hivyoWho is Rostam Aziz in Tanganyika?
Mpenda maendeleo na mzalendo nambari 1Ungekuja tu na ID yako halisi we majinuni!! Hahahaha kwahiyo hii ndo akili ya kutetea DP world?
Njoo na ID yako why uje kutukana na ID mpya mpya 🤣🤣🤣🤣🤣Mpenda maendeleo na mzalendo nambari 1
rostam amezaliwa mwisi wilaya ya igunga,tuache ubaguziKwa mujibu wa nani?
Tumeuzaje? Shilingi ngapi?Nimeuza Bandari kwa Wakoloni wa Kiarabu
Alibuni?Ndiyo mbunifu alieifanya serikali kuanzisha mfumo wa Bima ya Afya
Fimboasali! Sitokutuparostam amezaliwa mwisi wilaya ya igunga,tuache ubaguzi
Kwa nini hakuwahi kuwepo aliyeyaona huko nje na kuyaleta Tanzania zaidi ya Rostam Aziz?Alibuni?
Sema ali copy kutoka sehemu nyingine, haya mambo yapo kwa wenzetu Karne kadhaa zilizopita!!!
Kwa hiyo kuleta kutoka nje ndo kubuni?Kwa nini hakuwahi kuwepo aliyeyaona huko nje na kuyaleta Tanzania zaidi ya Rostam Aziz?
Tafsiri vyovyote vile ila yeye ndo aliyeanzisha kwa mara ya kwanza huo mfumo nchini Tanzania tena jimboni kwake hadi Rais Mkapa akauona na kuuchukua na kuuingiza Serikalini.Kwa hiyo kuleta kutoka nje ndo kubuni?