n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Wakenya wanajua wanachofanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujuaji mwiingi hujui hata kusoma 'btn the lines'.Kama hujui kitu kaa kimya!!yule jamaa achana naye, kuna deal lolote liliofanyika nchi hii kipindi cha nyuma bila kumhusisha yeye?mbona meko alipoingia madarakani hukuona hata kukamatwa tu?yule mdogo wake alipokamatwa na nyara za serikali pamoja na mabunduki ya kuwindia akapewa kesi ya uhujumu uchumi , baada ya jamaa kuja kuonana na meko, kesi ikaishia pale pale, na tenda kubwa kubwa zote za serikali hadi sasa ndio anazo jamaa!!
Biashara ya Gas ni Odinga&the family.watu wanashindwa kuelewa wafanya biashara wakubwa kenya ni wanasiasa, hivyo basi akitokea mfanya biashara anataka kuuza bidhaa inayofana na mwanasiasa hapewi kibali. mfano VP wa kenya ndio anauza mahindi kenya, kenyatta mwenyewe anasibdika maziwa
Na pale vodacom akauza hisa zake zotee akatimka [emoji23] [emoji23]Hahah huyo rostam mwenyewe alikimbia nchi,Co. Yake ya Caspian inajua cha moto ilichokipata.
Jiwe sio wa mchezo mchezo.
[emoji23] [emoji23] Yaani ukisikia mtu anakimbilia kulaumu mabeberu jua kapigika kila kona na hana jipya hapa duniani. Hata mtaani kwako ukianza kumchukia jirani yako na kumpa majina ya ajabu ajabu, kisa kafanikiwa kimaisha jua mji umekushinda rudi shambani huko ukalime au uwe kibarua.Mama anakumbatia sana Kenya , ki ukweli hao ni mabeberu wa East Africa wanataka kupiga hatua kupitia mgongo wetu...
Mama hata hajakurupuka,kama umemsikiliza uhuru alikua na maoption kibao, utalii, aviation, ajira, biashara n.k, but Mama kwenye hotuba zake zote kakomaa kwenye biashara, hata alipoongelea bomba la gesi kakwepesha kimtindo, angejichanganya pale kusema wakenya na wenyewe waje kufanya TZ bila permit work kesho tu ungeona wakenya watakavyokimbilia huku,mama alikua cool sana kwenye ziara yakeHuyu mama anakurupuka sana kwa hawa wakenya ajiulize hata kwa kina mzee wa msoga
Acha tuone
Adi alikonda akawa kama mvuta bangi 😬Hahah huyo rostam mwenyewe alikimbia nchi,Co. Yake ya Caspian inajua cha moto ilichokipata.
Jiwe sio wa mchezo mchezo.
you seeBiashara ya Gas ni Odinga&the family.
Alituachia 💣💤💤💤Huyu ndie chanzo kiku
Acha kupotosha tatizo una elimu ndogo sana juu ya masuala ya gesi unajifanya mjuaji.Samia akicheka na nyani atavuna mabua.
Samia asipende sifa za kijinga kutoka kwa watu hasa wapinzani...
[emoji23] [emoji23] Yaani ukisikia mtu anakimbilia kulaumu mabeberu jua kapigika kila kona na hana jipya hapa duniani. Hata mtaani kwako ukianza kumchukia jirani yako na kumpa majina ya ajabu ajabu, kisa kafanikiwa kimaisha jua mji umekushinda rudi shambani huko ukalime au uwe kibarua.
Jitu lina akili zake linashindwa kupambana na mbinu mbalimbali za maendeleo na ustawi wa wananchi wake linaishia kuita washindani wake mabeberu, pumbavu sanaaaaa...
Wewe ulikuwa wapi?Tulikuwa wapi mpaka wakachukuwa nafasi hizo nyingi za uwekezaji? Ndio maana nasema sisi ni watoto kibiashara. Mpaka kampuni za ulinzi tulishindwa! Eti na degree yangu nitakuwaje mlinzi ! Wao na master's zao wakachukuwa.