Rostam Aziz: Ni ngumu kwa Mtanzania kuwekeza Kenya

Rostam Aziz: Ni ngumu kwa Mtanzania kuwekeza Kenya

Kitu cha kwanza mkenya anamuona mtz hana utashi wanadharau sana wale jamaa..wakenya wanatukubali watz kwenye mziki tu..
 
Kitu cha kwanza mkenya anamuona mtz hana utashi wanadharau sana wale jamaa..wakenya wanatukubali watz kwenye mziki tu..
Hahaha pamoja na ujuaji wao lakini wamejenga SGR ya hovyo sana
 
Mimi nilizubaa, nilifikiria ulinzi ni ambao hawakusoma, hata hivyo nina kadiploma kalikochoka .
 
Historia inaonesha Tanzania na Kenya ndizo inchi zenye nguvu Afrika Mashariki.

Vilevile hizi nchi zinautani na ushindani by nature. Yaani hii hata Marais na Wanasiasa mtalambana midomo bado ila bado tutarudi kule kule.

Kenya hawezi Kurusu Mtanzania kuongoza kampuni kubwa nchini Kenya. Yaani hata Rostam Azizi akiende kuwekeza leo itabidi Meneja wa hiyo Kampuni awe mkenya ili mambo yaende vizuri.

Mama umeanza vizuri lakini tegemea mfadhaiko na kukatishwa tamaa na Wakenya.

Kenya wameshafikia hatua ya kuitwa mabepari wakati sasa bado tuko kwenye ujamaa. Yaani sisi tunasubiri serikali ifanye ili nasi tupate.

Nakuasa usijivunie sana maneno ya Uhuru Kenyatta maana akikosa tu anachokitafuta ataanza chokochoko.

NATURE YA RAIA WA HIZI NCHI MBILI NDIO MUAFAKA WA UTENGAMANO.
 
Utashangaa baadhi ya Watz wenzetu wanashabikia eti Rais Uhuru Kenyatta karuhusu wawekezaji kutoka Tz oooh karuhusu Watz kufanya kazi Kenya na mambo kibao.Kama huwajui Wakenya nyamaza, tuongee siye tuliowahi kukaa na kusoma Kenya .Wale watu ni wabaguzi hatari hawafai hawafai
Sure mkuu hao siyo watu nina reference yao nzuri tu wakati naishi pale nyayo estate.
 
Back
Top Bottom