Sasa huoni sisi ndo wajinga ?Mama anakumbatia sana Kenya , ki ukweli hao ni mabeberu wa East Africa wanataka kupiga hatua kupitia mgongo wetu...
Kuna pindi madaktari wa Kenya waligoma... Uhuru akaomba watz waende... Wakenya wakianza kuna dk wa bongo atakae sogeza pua
Sure mkuu hao siyo watu nina reference yao nzuri tu wakati naishi pale nyayo estate.Utashangaa baadhi ya Watz wenzetu wanashabikia eti Rais Uhuru Kenyatta karuhusu wawekezaji kutoka Tz oooh karuhusu Watz kufanya kazi Kenya na mambo kibao.Kama huwajui Wakenya nyamaza, tuongee siye tuliowahi kukaa na kusoma Kenya .Wale watu ni wabaguzi hatari hawafai hawafai