Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts


Umepata kazi nyingine au bado unaendeleza kazi zako zile?
 

Naona umeanza sasa kumsogelea Rostam Aziz, kumbuka kuwa amefunga ndoa juzi na Mama Meghji ingawa bado hajaacha kuwa na nyumba ndogo.
 
KAKA KUNA HAJA YA WATU TUPIMWE AKILI KABLA HATUJAANZA KUCHANGIA HAPA.MAANA ATA TAFSIRI ZA NDOTO ZETU TUNALETA JAMBO FORUMS
 
KAKA KUNA HAJA YA WATU TUPIMWE AKILI KABLA HATUJAANZA KUCHANGIA HAPA.MAANA ATA TAFSIRI ZA NDOTO ZETU TUNALETA JAMBO FORUMS

Nilitegemea kuwa umeshapimwa kabla ya kuja hapa maana inaonekana unatakiwa kupimwa vitu vingi zaidi ya akili........lol
 
Naona umeanza sasa kumsogelea Rostam Aziz, kumbuka kuwa amefunga ndoa juzi na Mama Meghji ingawa bado hajaacha kuwa na nyumba ndogo.
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Watu waliozaliwa kwa wazazi wanaokunywa "heinken" hawajikombi na kujigongesha kuwa mwizi na mkoloni Rostam Azizi ....... badala yake wanatulia na kufanya mambo makubwa peke yao!
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Mkuu,

Hapo juu una maaga gani? I hope utataka uwe judged kwa nini umefanya zaidi ya baba au mama alikuwa anafanya nini.
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Tunakunywa dengerua kwa fedha za pamba na korosho wewe na wenzake Henkein kwa fedha zetu za EPA. UMEJILENGESHA
 
WATU HAWAMJUI ROSTAM,JAMAA ANA AKILI SANA WANAHITAJIKA NJAMBO FORUMS KAM KUMI TUJIUNGANISHE AKILI ZETU ILI KUTOA KICHWA KIMOJA CHA ROSTAM.

....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.
 
Umepata kazi nyingine au bado unaendeleza kazi zako zile?
Kazi ni ile ile DADA yangu,inaonyesha ni jinsi GANI Falsafa ya fisadi mtoto inathibitika,umeanza personalities,mipasho etc.Hapa bado hajaja mwenzio ASHA mniufanya umma huu ukabaliane na BABU ZETU kua kina DADA kazi yao ni kupiga na kulea watoto hujibu hoja umeanza VIOJA.

FISADI MTOTO hongera kwa uamuzi wa kujiandaa kuchukua JIMBO la BABA yako bcs hawa jamaa bado kabisa jiandae kaka TANZANIA ni yetu wao ulimwengu wao haupo.

Halisi PAMBA ni zao Korosho ni zao EPA pia ni zao nani anakula nini ni JITIHADA BINAFSI.KWANI UNAWEZA KULIMA KOROSHO UKALA EPA NA UNAWEZA KUA NA EPA UKALA KOROSHO.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 

Endelea kuexplode tu... mie na popcorn zangu tayari kuona movie inayofuata ikikuonesha wewe na Rostam somewhere peke yenu "mkila korosho"...........
 
....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.

kwi kwi kwi

wewe Koba wewe, si angalau angekuwa anapewa mgawo wa pesa! mwenzako anapewa mgawo maalumu na Manji jr na sasa anataka kuanza kupata mgawo wa Rostam Aziz.

Just wait usome the next chapter!
 
Kwahiyo FISADI MTOTO alichtuonyesha ni kua JF wengi wenye mawazo -ve kama kina mwafrika uwezo wao ni mdogo wa kuelewa na wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia.Na sisi CCM TUMEPEWA JUKUMU LA KUWAONGOZA WOTE NA KUWASAIDI.

...what a great day for B.S!
 
 
 
 
 
Fisadi Mtoto kindly show us some sense of respect by not using those capitals all the time.It is indeed irritating and annoying . You can do better than that .Najua unatete maslahi ya ndugu zako lakini pia si lazima uandike kama huna cha kusema. Kusema jina lako ujulikane huwezi maana mimi tangia mwanzo natumia jina langu Mimi Joseph Cleophas Lunyungu .Niko wazi na sina wasi wasi sasa hii ya tishia nyau hapana . You cannot give your name kama ungaliweza you would have done kabla ya maneno. Again kutumia maandishi ya namna ni kuonyesha hujakomaa .Use low cases wil do you good na kuonyesha kidogo huna ukungu sehemu pamoja na kwamba to look umejawa na ukungu mgando na kuna siku utakutoka then it will be too late .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…