Hivi Budget ya CCM ya Uchaguzi ilikuwa Billion ngapi vile??billion 22 na wakaongeza tena billion 8...so ni kama billion 30.DUh??Moelex kuna ukweli kwa details zako hapo??
ila nachofahamu billion 30 zilichangwa nwa tu wengi sana wenye mapenzi na chama,wabunge wote walitoa kuanzia 1.5m wakati wa mchakato na hata walioshindwa,hivyo
chukua 235*3* 1.5 million unapata ngapi?.ongeza na michang mikubwa ya kina Moh. sabodo ,Mungai, pamoja na pesa ya chama ..usiwahadae watu,CCM inajiendesha
NASHANGAA SANA MNAMGUNDUA LEO HUYU KIMEO MWAFRIKA WA KIKE.MUULIZE ATA MTOT WA MKULIMA ALISEMA HUYU NI BONGE LA KILAZA.KWANZA ANA IMANI ZA KISHIRIKINA,PILI ANA JAZBA,TATU ANA MAJUNGU,NNE KAIGEUZA JF UKUMBI WA UMBEYA,TANO ANA USHABIKI BILA DATA.IN SHORT NI MAMA UMBEYANDIO MAANA NILIMWAMBIA INVISIBLE AWE MAKINI SANA NA HAWA MEMBERS NA TUHUMA ZAO WANAOZOTOA HUMU NDANI , WANAHARIBU SANA HII FORUM NA INATOA IMANI KWA WANACHAMA WAPYA KATIKA FORUM KWA UJUMLA
ANGALIA PALE KATIKA HOJA NZITO NITAANDIKA RIPOTI KAMILI KWA RAIDA YA UMA
NASHANGAA SANA MNAMGUNDUA LEO HUYU KIMEO MWAFRIKA WA KIKE.MUULIZE ATA MTOT WA MKULIMA ALISEMA HUYU NI BONGE LA KILAZA.KWANZA ANA IMANI ZA KISHIRIKINA,PILI ANA JAZBA,TATU ANA MAJUNGU,NNE KAIGEUZA JF UKUMBI WA UMBEYA,TANO ANA USHABIKI BILA DATA.IN SHORT NI MAMA UMBEYA
Amani na Utulivu? Ipi Upi?Lakini angalau bado tuna "amani na utulivu" tofauti na jirani zetu.
What is clear is that there is much anger here. But is it productive anger? Will it bring any changes?
We must distinguish between causes and consequences of problems. The massive embezzlement of public funds that we are witnessing is the consequence of a problem, an endemic problem in Tanzania. Its called bad governance. If we want to change this phenomenon, we must remove CCM from power first. Then, and only then, can we start again, with a system of checks and balances that does not allow cliques of thieves to entrench themselves in power.
It is impossible to change the state of affairs in Tanzania without moving CCM into the opposition camp first.
Nauliza ni kweli hatuwezi kuibadili nchi yetu bila kuimaliza CCM?Lahasha!!!uwezo tunatoa,hapa ni kujipanga kinominomi tuuu
Nawashauri wafanyabiashara wa tz muandamane hadi jumba jeupe mkalazimishe wawape mkopo kwaajili ya biashara zenu.Lazima kieleweke,kama wameweza kumpa hizo fedha Mu-Iran,sembuse watz?sidhani,lazima wawape,tena mwende na mwanasheria,na muwaambie zile mlizompa muiran nasi mtupe,au siyo?
Maelezo yako hayajengi hoja ata kidogo?unaweza nitajia majina ya wabunge walioenda bungeni kwa ajili ya mapenzi yao kwa wananchi wa tanzania? watanzania wanachagua lini watu wenye mapenzi kwao zaidi ya kupenda rushwa.Mhe. RA, swali la 'kizushi'....... Hivi unawapenda sana watu wa Igunga hadi ukupenda kuwawakilisha bungeni (naamini sio marupurupu ya ubunge yaliyokuvutia)? Je nitakua nimekosea nikisema kwamba ulitaka ubunge ile biashara zako ziende sawa? Kwamba ubunge wa sehemu yoyote kwako ni sawa? Iwe Igunga au Ukonga? Kama ni haya ni sawa, wewe ndiye unatumia siasa vibaya!
NANI WA KUTHUBUTU KUMCHUKULIA HATUA BABA, KWANI HUJUI HUWA AKISHACHUKUA HIZI PESA ZINA MGAO WA WENGI? SASA WA KUMCHUKULIA HATUA NI NANI AU HOSEA WA TAKUKURU? LILILOBAKI HIVI SASA NI WANANCHI KUNOA MAPANGA YETU TAYARI KUKABILIANA NA WEZI WETU MAANA SERIKALI HAIPO. NA HILI TUSIWE NA HARAKA NALO, TUSUBIRI WAKATI WA UCHAGUZI UJAO ILA TUWE TAYARI TAYARIHivi huyu Rostam kwa nini basi hachukuliwi hatua za kisheria?? maana kila kukicha tunasoma Rostam kafanya hiki mara kile ila jamaa yupo na anadunda kama kawa! kama serikali inamwogopa basi chapisheni hapa hiyo mikataba au mikopo inayoonyesha alikwapua mali ya umma na tunaahidi kuwa tutaishikilia bango ndani na nje ya nchi kama serikali inamwogopa!!! tutapeleka evidences hizo kwenye balozi zote na tutawaeleza kuwa serikali inamwogopa kumchukulia hatua za kisheria na kama nao wakimwogopa basi tutachukua hatua sisi wenyewe wazawa ili kuweka mambo sawa.
Kuna wakati tulishasema hapa jamvini kuwa Tanzania inakamtindo kakuwaogopa watu au wafanyabiashara wenye asili ya kiasia pale wanapoiba au kuvunja sheria za nchi? ...tukaitwa wabaguzi weusi!! sasa basi kama kuna ushahidi chapisheni hapa au kwenye magazeti ili huyu mtu achukuliwe hatua kali za kisheria na tufunge mjadala! na siyo kuloloma tu hakutasaidia kuwakomboa wananchi.
-Wembe
Kati ya wabunge ambao inadaiwa wana ushawishi sana kwenye serikali na nje ya serikali ni Mbunge wa Igunga Mhe. Rostam Aziz (CCM) Siyo tu Bungeni lakini pia jina lake limekuwa likitajwa katika mambo mbalimbali na hivyo kumfanya kuwa ni miongoni mwa wabunge wenye "ushawishi" wa aina fulani na wenye nguvu ya aina fulani. Kuna watu wanaomini kuwa yeye ndiyo "King Maker" wa Tanzania. Je ushahidi ukoje. Ufuatao ni wasifu wa Mhe. Aziz ambao licha ya kutojibu maswali, unazua maswali mengi zaidi na kubwa zaidi ambalo binafsi ningependa kusaidiwa majibu yake ni "Mchango mkubwa wa Bw. Rostam kwa taifa letu ni nini"?
Je, ni ajira, kuanzisha vyombo vya habari n.k Je yawezekana kuwa kule Bungeni kwa miaka miwili Bw. Aziz hajawahahi kusema kitu chochote? Na kama amewahi imekuwaje kuwa tovuti ya Bunge haionyeshi mchango wake hata mmoja? Kwanini miaka miwili baadaye hata wasifu wake wameshindwa kuumalizia? Mbunge huyu mwenye utata, kweli anazo nguvu anazodaiwa kuwa nazo au ni uonevu wa wapinzani wake wa kisiasa?. Binafsi sina jibu. wewe unalo?
Utakuwa umekosea. Taarifa nilizokuwa nazo ni kuwa ni BWM sio JK. Ulizia hicho chanzo chako mkuuJe kuna ukweli kuwa Kikwete ni wanahisa wa kampuni ya Caspian inayonilikiwa na Rostam Azizi? ikumbukwe kuwa sasa Caspian imepewa tenda ya kutoa kifusi kwenye migodi ya barrick
Utakuwa umekosea. Taarifa nilizokuwa nazo ni kuwa ni BWM sio JK. Ulizia hicho chanzo chako mkuu